Nataka kumshtaki rais na wabunge wa CCM naombeni msaada wa kisheria

Ringo Edmund

JF-Expert Member
May 10, 2010
4,879
1,125
Waungwa naombeni msaada wa kisheria ili niwashtaki rais na wabunge wa ccm kwa kushindwa kulinda katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania.

Mkumbuke kwa mujibu wa viapo walivyokula ni kwamba waliapa kuilina na kuitetea sasa mamlaka ya kuanzisha mchakato wa katiba mpya wameupata wapi? Wameikanyaga katiba kama walitaka kuibadili katiba walitakiwa kwanza watunge sheria waiingize kwenye katiba ya sasa ili iwaruhusu kuibadili.

Ni hatari sana kuwa na viongozi wa namna hii ma dk na maprof wanafanya makosa ya wazi namna hii tukiwachekea watakuja kuibadili hata hiyo wanayodai kuileta.

Naombeni wanasheria mnipe msaada ni kesi ya muundo gani, ni pesa kiasi gani na ni mahakama gani natakiwa kisheria kuifungulia?

Msinielewe vibaya kuna mambo mengi katika nchi hii yanaendeshwa kienyeji ili kuwa mfano nimeamua kuuza shamba langu ili kuwakumbusha utawala wa sheria ni vitendo na si kwenye vyombo vya habari.

NB: sihitaji msaada wa kifedha.

Nawasilisha.
 
Ndugu yangu kwa Sheria zilizopo ni kwamba Rais hashtakiwi kwa jambo lolote alilolifanya kama Rais wa Nchi. Hata hivyo, kwa mambo yake binafsi huwezi pia kumshtaki mpaka atakapomaliza kipindi chake cha Uongozi.

Kwa Wabunge, Sheria ipo wazi kwamba huwezi kumshtaki Mbunge (au Wabunge) kwa jambo lolote alilolifanya ndani ya Bunge. Sheria inaweka wazi kwamba hakuna jambo lolote linaweza kuhojiwa na Mahakama ambalo limefanywa na Bunge. Huo ndio upuuzi wa Sheria zetu!!
 
Mchakato wa katiba hii ndio haswa mahari pakee pa kubadilisha sheria hizi,kwani ni afadhali huyu m.k.w.e.r.e mwenye ubongo mgado kuliko kuja kupata raisi mwenye tahira ya akili maana atauza hata ile nyumba nyeupe pale magogoni na akabaki huru.
 
Ndugu yangu kwa Sheria zilizopo ni kwamba Rais hashtakiwi kwa jambo lolote alilolifanya kama Rais wa Nchi. Hata hivyo, kwa mambo yake binafsi huwezi pia kumshtaki mpaka atakapomaliza kipindi chake cha Uongozi.
kaka nakushukuru kwa kunipa mwanga kwa sababu kwa hasira nilizo nazo nilishatafuta na mteja wa shamba,siwezi kwenda hata mahakama ya kimataifa?
mbona dowans walitupeleka nje?
naomba upekuepekue makabrasha yako ya sheria,kama haiwezekani niandae tu mashtaka nisubiri katiba mpya.
Kwa Wabunge, Sheria ipo wazi kwamba huwezi kumshtaki Mbunge (au Wabunge) kwa jambo lolote alilolifanya ndani ya Bunge. Sheria inaweka wazi kwamba hakuna jambo lolote linaweza kuhojiwa na Mahakama ambalo limefanywa na Bunge. Huo ndio upuuzi wa Sheria zetu!!
asante kaka nitasubiri katiba mpya ngoja niandae mashtaka niweke kabatini siku itakuja tu.
na wewe hebu pekuapekua makabrasha yako ya shria ili ikiwezekana niwapeleke hata kule walipotupeleka dowans.
 
Waungwa naombeni msaada wa kisheria ili niwashtaki rais na wabunge wa ccm kwa kushindwa kulinda katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania.

Mkumbuke kwa mujibu wa viapo walivyokula ni kwamba waliapa kuilina na kuitetea sasa mamlaka ya kuanzisha mchakato wa katiba mpya wameupata wapi? Wameikanyaga katiba kama walitaka kuibadili katiba walitakiwa kwanza watunge sheria waiingize kwenye katiba ya sasa ili iwaruhusu kuibadili.

Ni hatari sana kuwa na viongozi wa namna hii ma dk na maprof wanafanya makosa ya wazi namna hii tukiwachekea watakuja kuibadili hata hiyo wanayodai kuileta.

Naombeni wanasheria mnipe msaada ni kesi ya muundo gani, ni pesa kiasi gani na ni mahakama gani natakiwa kisheria kuifungulia?

Msinielewe vibaya kuna mambo mengi katika nchi hii yanaendeshwa kienyeji ili kuwa mfano nimeamua kuuza shamba langu ili kuwakumbusha utawala wa sheria ni vitendo na si kwenye vyombo vya habari.

NB: sihitaji msaada wa kifedha.

Nawasilisha.

Mtafute mtikila anaweza kukusaidia kwa hili huwa ni mzuri kwa kesi dhidi ya serikali
 
Mchakato wa katiba hii ndio haswa mahari pakee pa kubadilisha sheria hizi,kwani ni afadhali huyu m.k.w.e.r.e mwenye ubongo mgado kuliko kuja kupata raisi mwenye tahira ya akili maana atauza hata ile nyumba nyeupe pale magogoni na akabaki huru.
kaka nina hasira utafikiri nini,
mpaka nimeamua kuliuza shamba laangu kwani sioni haja ya kuwaachia urithi watoto ambao watakuja kunyanganywa na mafisadi kwa kigezo cha kwamba wameshindwa kuliendeleza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom