Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,125
Waungwa naombeni msaada wa kisheria ili niwashtaki rais na wabunge wa ccm kwa kushindwa kulinda katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Mkumbuke kwa mujibu wa viapo walivyokula ni kwamba waliapa kuilina na kuitetea sasa mamlaka ya kuanzisha mchakato wa katiba mpya wameupata wapi? Wameikanyaga katiba kama walitaka kuibadili katiba walitakiwa kwanza watunge sheria waiingize kwenye katiba ya sasa ili iwaruhusu kuibadili.
Ni hatari sana kuwa na viongozi wa namna hii ma dk na maprof wanafanya makosa ya wazi namna hii tukiwachekea watakuja kuibadili hata hiyo wanayodai kuileta.
Naombeni wanasheria mnipe msaada ni kesi ya muundo gani, ni pesa kiasi gani na ni mahakama gani natakiwa kisheria kuifungulia?
Msinielewe vibaya kuna mambo mengi katika nchi hii yanaendeshwa kienyeji ili kuwa mfano nimeamua kuuza shamba langu ili kuwakumbusha utawala wa sheria ni vitendo na si kwenye vyombo vya habari.
NB: sihitaji msaada wa kifedha.
Nawasilisha.
Mkumbuke kwa mujibu wa viapo walivyokula ni kwamba waliapa kuilina na kuitetea sasa mamlaka ya kuanzisha mchakato wa katiba mpya wameupata wapi? Wameikanyaga katiba kama walitaka kuibadili katiba walitakiwa kwanza watunge sheria waiingize kwenye katiba ya sasa ili iwaruhusu kuibadili.
Ni hatari sana kuwa na viongozi wa namna hii ma dk na maprof wanafanya makosa ya wazi namna hii tukiwachekea watakuja kuibadili hata hiyo wanayodai kuileta.
Naombeni wanasheria mnipe msaada ni kesi ya muundo gani, ni pesa kiasi gani na ni mahakama gani natakiwa kisheria kuifungulia?
Msinielewe vibaya kuna mambo mengi katika nchi hii yanaendeshwa kienyeji ili kuwa mfano nimeamua kuuza shamba langu ili kuwakumbusha utawala wa sheria ni vitendo na si kwenye vyombo vya habari.
NB: sihitaji msaada wa kifedha.
Nawasilisha.