Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,096
- 22,627
Habari ndugu wanajamvi........
Hivi karibuni kumekua na aina ya shughuli ya kiuchumi ambayo inahusika na mtandao wa kuchangiana pesa uitwao Crowd raising.....ambapo mwanachama baada ya kujiunga anakuwa anapata malipo kadiri ya idadi ya wanachama wapya wataoingia kupitia ushawishi wake........
Sasa swali langu linakuja kwamba hivi haya mambo si ndiyo yalileta shida mnamo mwaka 2008 kama sio 2009 ambapo serikali ilipiga marufuku michezo kama hii ya watu kuchezeshana upatu na walikiri kuwa upatu ni kinyume na sheria..........na kama ni hivyo naomba kufahamu hiki kinachoendelea hapa katika hii kitu inayoitwa crowd raising ina tofauti gani na DECI na ipo kwa mujibu wa sheria za nchi .....au kama kawaida hawa viongozi wanafiki wasiomuogopa MUNGU wanaojifanya wapo juu ya sheria mashetani watu wamekaa kimya kumbe wanamgao wao.......?!
Hivi karibuni kumekua na aina ya shughuli ya kiuchumi ambayo inahusika na mtandao wa kuchangiana pesa uitwao Crowd raising.....ambapo mwanachama baada ya kujiunga anakuwa anapata malipo kadiri ya idadi ya wanachama wapya wataoingia kupitia ushawishi wake........
Sasa swali langu linakuja kwamba hivi haya mambo si ndiyo yalileta shida mnamo mwaka 2008 kama sio 2009 ambapo serikali ilipiga marufuku michezo kama hii ya watu kuchezeshana upatu na walikiri kuwa upatu ni kinyume na sheria..........na kama ni hivyo naomba kufahamu hiki kinachoendelea hapa katika hii kitu inayoitwa crowd raising ina tofauti gani na DECI na ipo kwa mujibu wa sheria za nchi .....au kama kawaida hawa viongozi wanafiki wasiomuogopa MUNGU wanaojifanya wapo juu ya sheria mashetani watu wamekaa kimya kumbe wanamgao wao.......?!