Nataka kujua matumizi, na kinachoifanya dhahabu kuwa muhimu sana duniani

Wa Mjengoni

JF-Expert Member
May 4, 2010
480
128
Naelewa kuwa dhahabu ni kitu cha thamani sana. Nimejionea migodini jinsi inavyo tumika gharama kubwa sana ili kupata kitu kiasi kidogo kinacho pimwa kwa ounce tu, lakini hata hivyo kidogo hicho kinakuwa kinalipa sana toka mafuta mishahara umeme nk na kampuni ya mgodi haifi na wala haiteteleki.

SWALI LANGU NI!
1) Je! naweza kujua matumizi yote ya dhahabu na kati ya hayo ni lipi hutumia kiasi kikubwa cha dhahabu?
2) Ni nani hasa mnunuzi wa dhahabu zinazo toka kwenye migodi yetu baada ya makampuni ya migodi kusafirisha nje ya nchi?
3) Dhahabu inahusishwa vipi na utajiri wa nchi fulani au katika kulinda thamani ya fedha ya nchi fulani na Je? ni lazima kila nchi iwe na dhahabu kwenye bank ya dunia?
 
umeoa mzee, pengine ungekuwa na jibu mojawapo la pete ya dhahabu. pia, dhahabu tangu enzi za bullionism ni mtaji, ukiwa nazo nyingi sana ulizozitoa kule mwanza unaweza kuweka kwenye hazina ya bank kuu au kwenye baadhi ya bank zinazoaminika kwasababu hela yake nyingi mno etc. kuna mengi zaidi yaho ni mwawili tu ya kuanzia.
 
umeoa mzee, pengine ungekuwa na jibu mojawapo la pete ya dhahabu. pia, dhahabu tangu enzi za bullionism ni mtaji, ukiwa nazo nyingi sana ulizozitoa kule mwanza unaweza kuweka kwenye hazina ya bank kuu au kwenye baadhi ya bank zinazoaminika kwasababu hela yake nyingi mno etc. kuna mengi zaidi yaho ni mwawili tu ya kuanzia.

sasa zikishafika bank zinafanywa nini?
 
Wakuu ebu toeni ufafanuzi wa kutosha ili ni swali sensitive sana tofauti na mnavyo jibu
 
Dhahabu htumika kuundia vitu sana
Kwanza hata hiyo ulitumia kutype ni zao la dhahabu
Pia hutumika kutengenezea mashine na mitambo na vifaa mbalmbali,
Unapokuwa na dhahabu maaana yake una milk utajiri kwani unapoziuza zinaenda wkenye viwanda mbalimbali kwajili ya kutengeneza bidhaa mbalimbali ,
 
Naelewa kuwa dhahabu ni kitu cha thamani sana. Nimejionea migodini jinsi inavyo tumika gharama kubwa sana ili kupata kitu kiasi kidogo kinacho pimwa kwa ounce tu, lakini hata hivyo kidogo hicho kinakuwa kinalipa sana toka mafuta mishahara umeme nk na kampuni ya mgodi haifi na wala haiteteleki.

SWALI LANGU NI!
1) Je! naweza kujua matumizi yote ya dhahabu na kati ya hayo ni lipi hutumia kiasi kikubwa cha dhahabu?
2) Ni nani hasa mnunuzi wa dhahabu zinazo toka kwenye migodi yetu baada ya makampuni ya migodi kusafirisha nje ya nchi?
3) Dhahabu inahusishwa vipi na utajiri wa nchi fulani au katika kulinda thamani ya fedha ya nchi fulani na Je? ni lazima kila nchi iwe na dhahabu kwenye bank ya dunia?
tangu 2010 uzi huu hauna majibu, watalaamu wa hii kitu tupeni ufafanuzi zaidi
 
Back
Top Bottom