KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Wanabodi
Mimi binafsi nampango wakuipekeka kampuni ya simu mahakamani nawasiliana na mwanasheria wangu anisaidie ila kabla ya kuanza mchakato natafuta ushauri.
Vodacom wanaingilia uhuru wangu katika simu yangu na kunisababishia usumbufu!kwa kutuma ujumbe kila saa wakati mimi.sikuuomba.
Vodacom wanatumia simu yangu kama.sehemu yakufanyia matangazo bila kuwa namkataba wowote na mimi mimi mlaji.
Vodacom wananisababishia usumbufu wa kuwa nafuta jumbe zao kwa kutumia muda wangu pia nisipo futa napata usumbufu wakupata ujumbe wangu kutokana na ujumbe wao kuwa mwingi katika simu Vodacom Tanzania mjiandae.
Mimi binafsi nampango wakuipekeka kampuni ya simu mahakamani nawasiliana na mwanasheria wangu anisaidie ila kabla ya kuanza mchakato natafuta ushauri.
Vodacom wanaingilia uhuru wangu katika simu yangu na kunisababishia usumbufu!kwa kutuma ujumbe kila saa wakati mimi.sikuuomba.
Vodacom wanatumia simu yangu kama.sehemu yakufanyia matangazo bila kuwa namkataba wowote na mimi mimi mlaji.
Vodacom wananisababishia usumbufu wa kuwa nafuta jumbe zao kwa kutumia muda wangu pia nisipo futa napata usumbufu wakupata ujumbe wangu kutokana na ujumbe wao kuwa mwingi katika simu Vodacom Tanzania mjiandae.