The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 18,483
- 52,379
Usikate tamaa,endelea kuomba,ukiona giza linazidi ujue kumekaribia kupambazuka,Mungu hua hamtupi mja wake mwenye nia njema,Sasa kwanini basi mke sipati ili kuepuka kuzini, kama nikutafuta na kuomba nafanya sana?
Huko unapotaka kujiingiza utapotea,itafika muda utatamani hata uwe na hali uliyonayo leo ila haitowezekana tena,kuna risk kubwa sana ya kiafya huko unapotaka kukimbilia,
Kaa chini,fikiria kisha jihurumie,
Kila kitu kitakua sawa na utasahau maumivu unayoyapitia sasa,do ur best and God will do the rest,
Good luck Brother.