Mwananchi B
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 1,671
- 3,484
Uamuzi mzuri
Kwa hio wewe ni basha? 😂🤣 Watu wamevurugwaikifka time inahitaji ma basha tuambie pia
Usisahau tu kuwa na watoto na pia kujiweka karibu na ndugu wakuzaliwa nao wakati wako wa kutokujiweza utahitaji watu, nadhani hao ndo watakuwa karibu zaidi.Ndugu zangu.
Kwa masikitiko makubwa natarajia kuanza rasmi kununua dada poa na yote haya nikutokana na zoezi langu la kupata mke kuniwia vigumu sana kwani hakuna mwanamke ninayekutana naye nakuwa teyari kuolewa na mimi.
Sijawahi kununua dada poa mpaka nafikisha umri huu wa utu uzima na siku zote nilikua najiambia sitokaa kununua dada poa napia nilikua naona kufanya hivyo ni kukosea, nilikua napenda sana niwe na mke wangu hatakama atakua pasua kichwa ila tuu niwe na mke wangu , ila sasa naona ni heri nianze kununua dada poa japo sipendi ila itanibidi tuu.
Mabinti wengi nilionao kama wapenzi na wengine marafiki hawataki kabisa niwaoe wao wanapenda tuu mdate na mlane siku ziende japo mimi nataka kuoa ila ndiyo hivyo.
Nimejaribu sana kuangalia huku na huko pamoja na kuomba sana nipate mke ila naona kabisa maji yamenifika shingoni na huku ninakoelekea msongo wa mawazo wa kupata mke utanifanya nionekane kichaa bure mbele za jamii pamoja na kazini.
Ndugu zangu mimi kuiweka akili yangu sawa na kujisahaulisha hili swala la kuoa nimefikiria sana ninunue tuu madada poa pamoja na wadangaji,
nimefikiria niwe na urafiki na wanawake wa dangaji niwatoe hela na wanipe utelezi ,pia wakati mwingine niwe naenda sokoni kujichukulia dada poa na kupunguza msongo wa mawazo wa kupata mke unao nitesa akili na nafsi yangu.
Pia nafikira kurudia ulevi na natarajia kua mlevi wa pombe kali sana, madawa ya kulevya na mlevi wa wanawake kupita kiasi.
Pia nafikiria kupunguza kiwango cha imani nilicho nacho na niwe tuu mtu asiye na upande wowote,
Ndugu zangu haya ndiyo nimekaa nimetafakari naona kujipa furaha acha niingie katika huu ulimwengu mwingine labda nitarelax na yote haya ni kutokana na upweke wa nafsi nilionao ambao naona kabisa wakujazilisha nafsi yangu ni mwanamke pia upweke wa nafsi umekuwa ukinisimbua kila usiku na kila kukicha ndugu zangu.
Watalamu wa afya ya akili katika hospitali tatu za rufaa nilijaribu kuwaeleza kinacho nisibu na walinishauri fanya uoe utulie kama unaona mwanamke ndiye anayeweza kukutuliza ila nimejaribu kueleweka kwa wanawake lakini naona kabisa nina mkosi na hakuna anayetaka nimuoe.
Nimeomba sana nipate mke sasa nimekata tamaa naona naangamia kwa msongo wa mawazo bora tuu ni nunue dada poa labda nitakaa sawa na niwe mlevi sana kuponya nafsi yangu maana siku za usoni naona kabisa nitashikwa na depression ili hali mimi bado ni kijana tuu wa watu
Naombeni mawili matatu ndugu zangu.
Asanteni.
Jitulize kwanza utatue changamoto zako sio upeleke matatizo yako ya akili kwa mtoto wa watu. Ndo maana wanakukataa maana wanaona huna utulivu wa akili.Ukisoma mada zangu vizuri utagundua akili yangu haijatulia na yote haya nikutokana na sijapata mke wa kuituliza akiki yangu, pia sijapata mwanamke (mke) wakunichangamsha) na kuniondolea upweke..
Nafsi yangu inateketea ndiyo maana naona kuepuka depression na matatizo ya moyo acha tuu niingie humu japo sipendi ila itabidi tu
dogo una mwagiwa wino wa ngisi matakoniikifka time inahitaji ma basha tuambie pia
Fanya kinachokufurahisha kama ni kutoka out, kumwagilia moyo, movie, mpira n.k kuhusu wanawake atakaeingia kwenye mfumo we chakata mbususu tu achana na mawazo ya kuoa. Mke wa kuoa atatokea tu katika mazingira na muda ambao haukutarajia.Ndugu zangu.
Kwa masikitiko makubwa natarajia kuanza rasmi kununua dada poa na yote haya nikutokana na zoezi langu la kupata mke kuniwia vigumu sana kwani hakuna mwanamke ninayekutana naye nakuwa teyari kuolewa na mimi.
Sijawahi kununua dada poa mpaka nafikisha umri huu wa utu uzima na siku zote nilikua najiambia sitokaa kununua dada poa napia nilikua naona kufanya hivyo ni kukosea, nilikua napenda sana niwe na mke wangu hatakama atakua pasua kichwa ila tuu niwe na mke wangu , ila sasa naona ni heri nianze kununua dada poa japo sipendi ila itanibidi tuu.
Mabinti wengi nilionao kama wapenzi na wengine marafiki hawataki kabisa niwaoe wao wanapenda tuu mdate na mlane siku ziende japo mimi nataka kuoa ila ndiyo hivyo.
Nimejaribu sana kuangalia huku na huko pamoja na kuomba sana nipate mke ila naona kabisa maji yamenifika shingoni na huku ninakoelekea msongo wa mawazo wa kupata mke utanifanya nionekane kichaa bure mbele za jamii pamoja na kazini.
Ndugu zangu mimi kuiweka akili yangu sawa na kujisahaulisha hili swala la kuoa nimefikiria sana ninunue tuu madada poa pamoja na wadangaji,
nimefikiria niwe na urafiki na wanawake wa dangaji niwatoe hela na wanipe utelezi ,pia wakati mwingine niwe naenda sokoni kujichukulia dada poa na kupunguza msongo wa mawazo wa kupata mke unao nitesa akili na nafsi yangu.
Pia nafikira kurudia ulevi na natarajia kua mlevi wa pombe kali sana, madawa ya kulevya na mlevi wa wanawake kupita kiasi.
Pia nafikiria kupunguza kiwango cha imani nilicho nacho na niwe tuu mtu asiye na upande wowote,
Ndugu zangu haya ndiyo nimekaa nimetafakari naona kujipa furaha acha niingie katika huu ulimwengu mwingine labda nitarelax na yote haya ni kutokana na upweke wa nafsi nilionao ambao naona kabisa wakujazilisha nafsi yangu ni mwanamke pia upweke wa nafsi umekuwa ukinisimbua kila usiku na kila kukicha ndugu zangu.
Watalamu wa afya ya akili katika hospitali tatu za rufaa nilijaribu kuwaeleza kinacho nisibu na walinishauri fanya uoe utulie kama unaona mwanamke ndiye anayeweza kukutuliza ila nimejaribu kueleweka kwa wanawake lakini naona kabisa nina mkosi na hakuna anayetaka nimuoe.
Nimeomba sana nipate mke sasa nimekata tamaa naona naangamia kwa msongo wa mawazo bora tuu ni nunue dada poa labda nitakaa sawa na niwe mlevi sana kuponya nafsi yangu maana siku za usoni naona kabisa nitashikwa na depression ili hali mimi bado ni kijana tuu wa watu
Naombeni mawili matatu ndugu zangu.
Asanteni.
Dah umechelewa sana kuwala madada poa. Mie nilianza nikiwa form II na sijawahi kuacha hadi leo mtoto wangu wa mwisho yuko chuo kikuu
Una matatizo gani kimwili mfupi kama mm? Unafanya kazi ganiNdugu zangu.
Kwa masikitiko makubwa natarajia kuanza rasmi kununua dada poa na yote haya nikutokana na zoezi langu la kupata mke kuniwia vigumu sana kwani hakuna mwanamke ninayekutana naye nakuwa teyari kuolewa na mimi.
Sijawahi kununua dada poa mpaka nafikisha umri huu wa utu uzima na siku zote nilikua najiambia sitokaa kununua dada poa napia nilikua naona kufanya hivyo ni kukosea, nilikua napenda sana niwe na mke wangu hatakama atakua pasua kichwa ila tuu niwe na mke wangu , ila sasa naona ni heri nianze kununua dada poa japo sipendi ila itanibidi tuu.
Mabinti wengi nilionao kama wapenzi na wengine marafiki hawataki kabisa niwaoe wao wanapenda tuu mdate na mlane siku ziende japo mimi nataka kuoa ila ndiyo hivyo.
Nimejaribu sana kuangalia huku na huko pamoja na kuomba sana nipate mke ila naona kabisa maji yamenifika shingoni na huku ninakoelekea msongo wa mawazo wa kupata mke utanifanya nionekane kichaa bure mbele za jamii pamoja na kazini.
Ndugu zangu mimi kuiweka akili yangu sawa na kujisahaulisha hili swala la kuoa nimefikiria sana ninunue tuu madada poa pamoja na wadangaji,
nimefikiria niwe na urafiki na wanawake wa dangaji niwatoe hela na wanipe utelezi ,pia wakati mwingine niwe naenda sokoni kujichukulia dada poa na kupunguza msongo wa mawazo wa kupata mke unao nitesa akili na nafsi yangu.
Pia nafikira kurudia ulevi na natarajia kua mlevi wa pombe kali sana, madawa ya kulevya na mlevi wa wanawake kupita kiasi.
Pia nafikiria kupunguza kiwango cha imani nilicho nacho na niwe tuu mtu asiye na upande wowote,
Ndugu zangu haya ndiyo nimekaa nimetafakari naona kujipa furaha acha niingie katika huu ulimwengu mwingine labda nitarelax na yote haya ni kutokana na upweke wa nafsi nilionao ambao naona kabisa wakujazilisha nafsi yangu ni mwanamke pia upweke wa nafsi umekuwa ukinisimbua kila usiku na kila kukicha ndugu zangu.
Watalamu wa afya ya akili katika hospitali tatu za rufaa nilijaribu kuwaeleza kinacho nisibu na walinishauri fanya uoe utulie kama unaona mwanamke ndiye anayeweza kukutuliza ila nimejaribu kueleweka kwa wanawake lakini naona kabisa nina mkosi na hakuna anayetaka nimuoe.
Nimeomba sana nipate mke sasa nimekata tamaa naona naangamia kwa msongo wa mawazo bora tuu ni nunue dada poa labda nitakaa sawa na niwe mlevi sana kuponya nafsi yangu maana siku za usoni naona kabisa nitashikwa na depression ili hali mimi bado ni kijana tuu wa watu
Naombeni mawili matatu ndugu zangu.
Asanteni.
Tupeane machimbo.Karibu sana mkuu, ni moja wapo ya kusaidia dada zetu waliojiajiri!!
Nawaza kuacha ila kwa upande mwingine naona km watateseka😂😂😂😂