Natafuta wateja wa uhakika wa Asali

Habari, wa Jf mm ni kijana mpambanaji nimeona sasa nijikite kwenye biashara hii ya asali mbichi , nipo Tabora naomba nipate wanunuzi wa asali kwa aliyeko serious nitauza nikiwa huku kwa bei kg 1 sh 15,000 . Natafuta wateja serious Tanzania nzima, pia kama kuna mtu anahitaji asali ya biashara pia nicheck tuongee
Lita moja ni sawa sawa na kilo moja au? Hapa tunapata lita moja kwa 10000 tu.
 
Habari, wa Jf mm ni kijana mpambanaji nimeona sasa nijikite kwenye biashara hii ya asali mbichi , nipo Tabora naomba nipate wanunuzi wa asali kwa aliyeko serious nitauza nikiwa huku kwa bei kg 1 sh 15,000 . Natafuta wateja serious Tanzania nzima, pia kama kuna mtu anahitaji asali ya biashara pia nicheck tuongee
duuuuuhhhh
 
Habari, wa Jf mm ni kijana mpambanaji nimeona sasa nijikite kwenye biashara hii ya asali mbichi , nipo Tabora naomba nipate wanunuzi wa asali kwa aliyeko serious nitauza nikiwa huku kwa bei kg 1 sh 15,000 . Natafuta wateja serious Tanzania nzima, pia kama kuna mtu anahitaji asali ya biashara pia nicheck tuongee
last week nilikuwa kwenye Maonyesho ya Kilimo ya Kimataifa ya Nairobi,nilikutana na wanunuaji wa asali,Bahati mbaya sikuwa na Ishu nao, kenya wananuua ila lazima uwe na docoments za kukuwezesha kuuza asali nje.Kama huna tafuta
 
Habari, wa Jf mm ni kijana mpambanaji nimeona sasa nijikite kwenye biashara hii ya asali mbichi , nipo Tabora naomba nipate wanunuzi wa asali kwa aliyeko serious nitauza nikiwa huku kwa bei kg 1 sh 15,000 . Natafuta wateja serious Tanzania nzima, pia kama kuna mtu anahitaji asali ya biashara pia nicheck tuongee
Punguza bei ndugu wizara ya maliasili wana duka la asali hapa Dar wanauza lita moja 10k ni taasisi ambayo tunaamini inauza asali Original.
Otherwise itakudodea njaa ikikukamata utauza kwa bei ya hasara zaidi, mimi ni mteja ila bei yako ni ghali kutoa asali tabora lita 1 kwa 15k mpaka ifike Dar ni ghali, mimi naitumia kutengeneza vinywaji.
 
Kuna vitu huwa vinajiuza vyenyewe, Maziwa na asali,
Hapa hauhitaji nguvu kubwa sana kuitangaza bidhaa yako.
Maziwa usipoyachakachua yatajiuza yenyewe.
Sasa unakuta mwingine anaweka maji na unga wa ngano kwenye maziwa ili yaonekane mazito, kumbe anajiharibia.
The same kwenye asali anachoma masega na sukari anatia maji.
 
Back
Top Bottom