Weka bei ya wastani, ili hata mtu akitaka kuja ajue aweke mfukoni bei ngapi!Nipo dar, nimepack kw lita tano tano na 20, bei itategemea na kiasi cha mzigo utakao chukua.
Nipo dar, nimepack kw lita tano tano na 20, bei itategemea na kiasi cha mzigo utakao chukua.
Nipo dar, nimepack kw lita tano tano na 20, bei itategemea na kiasi cha mzigo utakao chukua.
Sasa hivi wanayachakachua sana kwa kuyatia polymers, na kuyakamua tena...sasa matokea watumiaji wanastukia wanakufa macho taratibu!Ukishatoa maelezo ya kina na contacts tutakutafuta.
1.Lita tano unauza kwa sh ngapi?
2.Hayo mafuta hayajachakachuliwa kweli? Unayatoa mkoa gani?
Mengine wadau washawaweka!
Yaani huyu jamaa anashangaza kweli!Weka bei ya wastani, ili hata mtu akitaka kuja ajue aweke mfukoni bei ngapi!
Jamani mimi sio dalali,
Nina kiwanda changu kipo Dodoma
Napatikana Mbezi Tank bovu kwa mawasiliano zaidi piga 0767821301
- Lita 5 Tsh. 19,000
- Lita 20 Tsh. 64,000
- Ni afuta mazuri sana Label ni Dodoma Sunflower, Double purified, hayajachakachuliwa, ukitaka kujua alizeti iliyochakachuliwa weka kwenye friji, yale mengine yataganda alafu alizeti itabaki haijaganda.
Jamani mimi sio dalali,
Nina kiwanda changu kipo Dodoma
Napatikana Mbezi Tank bovu kwa mawasiliano zaidi piga 0767821301
- Lita 5 Tsh. 19,000
- Lita 20 Tsh. 64,000
- Ni afuta mazuri sana Label ni Dodoma Sunflower, Double purified, hayajachakachuliwa, ukitaka kujua alizeti iliyochakachuliwa weka kwenye friji, yale mengine yataganda alafu alizeti itabaki haijaganda.
Jamani mimi sio dalali,
Nina kiwanda changu kipo Dodoma
Napatikana Mbezi Tank bovu kwa mawasiliano zaidi piga 0767821301
- Lita 5 Tsh. 19,000
- Lita 20 Tsh. 64,000
- Ni afuta mazuri sana Label ni Dodoma Sunflower, Double purified, hayajachakachuliwa, ukitaka kujua alizeti iliyochakachuliwa weka kwenye friji, yale mengine yataganda alafu alizeti itabaki haijaganda.