taja bei yako tuanze mazungumzo
Ungetaja budjet tujue ili tusipoteze mda
Inawezekanaje upate kitu kizuri halafu bei iwe poa? Wish you good luckWadau kama kuna mtu anauza vitz au corolla tuongee biashara. Gari iwe katika hali nzuri na bei iwe poa. karibuni tafadhari.