kepha joseph
Member
- Sep 17, 2021
- 11
- 4
Habari wanajukwaaa kwa wale wenye mashamba mifugo kama kuku, bata, kanga n.k mimi ni fundi wa kuunda vitotoleshi vinavyotumia nishati ya umeme, sola, geneleta pia ni nina ujuzi wa kulea vifalanga na kuhudumia mifugo
Hivyo mtu anayehitaji kijana wa kusimamia miladi yake kijana wa kazi nipo. Ninaishi Mwanza mawasiliano yangu ni 0694103055.
Hivyo mtu anayehitaji kijana wa kusimamia miladi yake kijana wa kazi nipo. Ninaishi Mwanza mawasiliano yangu ni 0694103055.