Paka hafi kwa sumu?nanikakuambia paka anakufa kwasumu?usifananishe paka nambwa au panya
Nimefanya hivyo kwa kuweka sumu ya panya lakini anakwepa kula!Chinja kuku mmoja,, mpakaze sumu kisha tegesha aje amle
Sijajua paka wa huko kwako.hafi mkuu.kamata tenganisha kichwa na kiwiliwili ndio sumuyake hio
Nimeweka sumu ya panya lakini hali labda sababu ya harufu!Sijajua paka wa huko kwako.
Kuna sehemu chanika mzee limboa machimbo kuna mapaka mengi yanawekewa sumu na yanakufa.
Huko kwako sijajua hiyo sumu.
Akiwekewa Furudan (Carbofuran) anakufa bila kulia nyau.nanikakuambia paka anakufa kwasumu?usifananishe paka nambwa au panya
Inapatikana madukani?Huku lindi kuna dawa inaitwa temico, wao wanadai inaua mara saba, nimeua sana Bweha, mbwa , mbwa mwitu na paka wezi
Ana shabaha?Manati nzito, toa jiwe weka gololi ya chuma!!
Ni zaidi ya gobole 😂
Tena kuna jamaa ni mzaramo anachanganya sumu ukija kumkuta kafa mpaka manyoya yanakua kama yameungua.Akiwekewa Furudan (Carbofuran) anakufa bila kulia nyau.
Achana na stori za vijiweni uswahilini au vijijini.
Akamate paka na mkono au mtego!?hafi mkuu.kamata tenganisha kichwa na kiwiliwili ndio sumuyake hio
Wewe uko lindi?Inapatikana madukani?
Hapana nipo Katavi!Wewe uko lindi?
Tafadhali unaweza kuchora kitanzi ili nijaribu kutengeneza? Kero na hasara ninayopata ni kubwa!Sikia, ziba sehem zote zenye uwazi, na kwa makusudi acha upenyo mdogo sehemu moja au mbili, au pale alipozoea kupita muachie gepu kidogo tu.
Then mtegee kitanzi (sijui kama unajua kutengeneza hiyo kitu)
Weka kamba ngumu ambayo hawezi kukata kirahisi, namna ya kutegesha hicho kitanzi ndipo ufundi ulipo. Tegesha kwenye tundu, kamba iwe fupi ili akijitingisha tu kimtait.
Nimeua paka wengi sanaaaa enzi zangu kwa style hiyo, na baada ya kuwanasa nilikuwa nawapatia adhabu za kutisha.
Ni ngumu kumuelekeza mtu kwa mchoro, ila watu wengi wanajua, hata hapo mtaani tafta mtu, ni simpo tu mbonaTafadhali unaweza kuchora kitanzi ili nijaribu kutengeneza? Kero na hasara ninayopata ni kubwa!