Achahasira
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 1,213
- 214
chukua samsung Ace bei poa ina kila kitu.
Kwanza Umeingilia tangazo la mtu, anzisha thread yako. Pili naona maelezo mareefu ya dada yangu aliniletea wakati mimi sina computer; huyo dada aliona zawadi ya kukuletea ni UPS wakati anajua hauna comp, au alilete vifaa vingine pamoja na hiyo na wewe ndy umeamua kuikwapua? Mwisho kabisa tafadhali weka picha ya dada pamoja na namba ya simu!
kwa pesa hiyo utaishia kupata kimeo,HTC from Taiwan ni kuanzia laki 4 na kuendelea(aina yeyote ya HTC Ina anzaia bei hiyo)
ila kama unataka HTC kutoka Shanghai hapo ndio vimeo vinapo anzia
Nataka nithaminishe kaka, huyo dada mwenye kuletea wadogozake zawadi ya UPS kabla ya PS!!!! haahahhaaahahahaaa! Mwache mwenzako na dada yake, kwani we unataka ups au dada yake?
you are doing business within someone business!