natafuta shule ya msingi boarding mkoani kilimanjaro

nimewahi kwenda hapo ila mazingira ni ya vumbi, ada kwa day ni laki6 usafiri unajitegemea, boarding ni mil1 na laki kadhaa ckumbuki. lakini ukimtoa mtoto international hizi za kawaida si itakua kumchanganya au anatumia sylabus ya Tanzania?
kuna scholastica nimesikia iko marangu au himo cjafika bado

hapana....hiyo scolastika na mie nimeickia, kama mazingia ni hayo hapana, ngoja nitaendelea na mchakato wa arusha...thnx mom.
 
Mom, i can see a big help to you.
Watu wengi sana wanasaidika kwa mada yako
BIG UP JF Members
 
Kwa Arusha jaribu kuangalia St. Patrick school.. kuna St. Constantine lakini ni Expensive kidogo..
 
hao st.costantine na patric ada zao zikoje? nikama mil ngapi?
 
hao st.costantine na patric ada zao zikoje? nikama mil ngapi?

Hivi kumbe unataka ya milioni ngapi? Dah we mama wewe! Wenzio tunataka za tulaki tuchache we unazungumzia mamilioni?
 
Hivi kumbe unataka ya milioni ngapi? Dah we mama wewe! Wenzio tunataka za tulaki tuchache we unazungumzia mamilioni?

ha! si nimeuliza, kwa maisha haya utapata wapi boarding ya watoto wadogo kwa laki? tena huku kwa kina mangi? kama ipo nielekeze pse mi nitawatafutia na wanafunzi wengi zaidi!
 
ha! si nimeuliza, kwa maisha haya utapata wapi boarding ya watoto wadogo kwa laki? tena huku kwa kina mangi? kama ipo nielekeze pse mi nitawatafutia na wanafunzi wengi zaidi!
Hahahaha! Haya mama umesomeka. Siku hizi ada ya chekechea ni ghali kuliko twisheni fii ya festi digrii! Hivi vibinti vyangu viwili vinavyonikamua, hakyanani mtu akivijaza mimba vikiwa skuli nami ntazaa na mama zao. kudadadadeki walahi!
 
Hahahaha! Haya mama umesomeka. Siku hizi ada ya chekechea ni ghali kuliko twisheni fii ya festi digrii! Hivi vibinti vyangu viwili vinavyonikamua, hakyanani mtu akivijaza mimba vikiwa skuli nami ntazaa na mama zao. kudadadadeki walahi!

hapo kwenye red hapo we tafuta kesi tu!
Ni kumuomba Mungu tu apishie mbali maana ukiangalia watoto wenyewe wanavyokua kama wametiwa mbolea 10 yrs kama 15 vile! kuna cku binti kaja na icecream kasema amenunuliwa na dereva nusu kichaa kipande, kumbe dereva alitoa ofa kwa watoto wote mi nikaona wangu tu!
 
Hahahaha! Haya mama umesomeka. Siku hizi ada ya chekechea ni ghali kuliko twisheni fii ya festi digrii! Hivi vibinti vyangu viwili vinavyonikamua, hakyanani mtu akivijaza mimba vikiwa skuli nami ntazaa na mama zao. kudadadadeki walahi!

haki ya nani nimecheka mpaka kizunguzungu....jamani chris!
 
hapo kwenye red hapo we tafuta kesi tu!
Ni kumuomba Mungu tu apishie mbali maana ukiangalia watoto wenyewe wanavyokua kama wametiwa mbolea 10 yrs kama 15 vile! kuna cku binti kaja na icecream kasema amenunuliwa na dereva nusu kichaa kipande, kumbe dereva alitoa ofa kwa watoto wote mi nikaona wangu tu!


yeuwiiii jamani! huyo mtoto wangu wa kwanza kwa mr, jamani nimetoka huko wiki mbili zilizopita nilimwangalia nikapatwa na butwaaa, kana 10yrs lakini toba mungu aniepushie, na hapo kalikuwa kamevaa shamba dress...kakija likizo itabidi nibanane nako haswa kujua maendeleo ya mwili kwa ukaribu zaidi, hapo akipata ishu utackia mama yake alikuwa hamwangalii vizuri...mwehh
 
yeuwiiii jamani! huyo mtoto wangu wa kwanza kwa mr, jamani nimetoka huko wiki mbili zilizopita nilimwangalia nikapatwa na butwaaa, kana 10yrs lakini toba mungu aniepushie, na hapo kalikuwa kamevaa shamba dress...kakija likizo itabidi nibanane nako haswa kujua maendeleo ya mwili kwa ukaribu zaidi, hapo akipata ishu utackia mama yake alikuwa hamwangalii vizuri...mwehh

yani watoto wa kike wanakosesha raha sana wanapoanza kua na shape na nyuso za mvuto, alafu ni kweli usipokua mkali kidogo hapo akijaharibika ni ww especial pale ni ww si biologica mother watu wanachukulia kama ulimwacha tu bila kufkr umetoka nae wapi.
 
kwa intenational school kuna Prime ... cjui mwenye kujua amalizie. ni ya arusha wao ada zao ni kama 9ml ila ni cheap compared to moshi international
 
Mpeleke mtoto wako Moshi International mana ni kama IST ya upanga standard zao za kufundisha ni za kimataifa ila malezi mmmmh
 
Hahahaha! Haya mama umesomeka. Siku hizi ada ya chekechea ni ghali kuliko twisheni fii ya festi digrii! Hivi vibinti vyangu viwili vinavyonikamua, hakyanani mtu akivijaza mimba vikiwa skuli nami ntazaa na mama zao. kudadadadeki walahi!

Chrispin,hiyo ultimatum unatupa ss wakati wafanyaji mambo haya huenda hawamo humu?
Nakushauri sijui katika age gani uviambie vyenyewe na ukivipa mfano kuwa wenye magari-sitaki lifti za mimba,wenye dala 2-sitaki lifti za mimba etc na mbona unazungumzia mimba tu,mengine ni ruksa? 2. Wengine hawana mama utawafanyaje. 3.Mbona unasema vikiwa skuli-una maana baada ya hapo ni ruksa? Ndg yangu jitahidi na muombe mungu na uvipeleke saaaana kanisani au msikitini maana kama ni kuwashughulikia hao mama zao,mbona utakuwa na vitoto kibao vya ku revange-ahaaaaaaaaaaaaaaaaha.:confused2:
 
Hiyo Scholastica ipo mji mdogo wa Himo, ukiwa kama waumaliza mji ukielekea Marangu, ni kushoto kwako. Iko poa hata kidiscpline yasifiwa kiaina tho cna details sana za gharama zao kwa sasa.
 
Got their number hapa i.e shule ya Scholastica, if u'll be interested +255272756310. Kila la kheri katika harakati za kuwajengea msingi bora hao kids!
 
Back
Top Bottom