Natafuta ramani za viwanja vilivyopimwa Gezaulole, Kibada, Bunju

Gelange Vidunda

JF-Expert Member
Aug 18, 2008
314
31
Kuna yeyote anayejua kama ramani za hivi viwanja vilivyopimwa katika vitongoji vya Dar es Salaam vipo online? Na kama vipo online naomba address yake tafadhali.
 
Ki ukweli viwanja vilipaswa viwe online, mtu ujue kila eneo linamatumizi gani, haya mambo ya kwenda hadi manispaa yanasababisha foleni na kupunguza tija kitaifa
 
Back
Top Bottom