adakiss23
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 4,477
- 4,270
Mimi ni kijana miaka 27 mwajiriwa ktk idara 1 serikalini, vilevile nko mwaka wa mwisho ktk moja ya chuo kikuu hapa mjini. Natafuta rafiki wa kike ambaye atakuja kuwa mwenza wa maisha hapo baadae.. Awe mpole, mstaarabu, elimu diploma au degree, dini sibagui, asiwe na mtoto wala aliyewahi kuolewa, awe 24_28. Mwenye sifa hizi PM panahusika zaidi. .
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums