sheiza
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 7,567
- 11,486
Alikuwa akiitwa Ibrahim Raha maarufu kama mzee Jongo, alikuwa mzee wa makamo na msanii wa viwango vikubwa katika upande wa ucheshi. Kwa wanaokumbuka alianzia redio Tanzania na badae akahamia kwenye runinga ya ITV.
Usingeweza kuchoka kumtazama kwa vituko na maigizo ambayo yangeweza kukutoa kwenye kuigiza na kudhania ukweli.
Nimekuwa nikitafuta picha za huyu mzee ambaye kwa sasa ni marehemu bila mafanikio. Kwa mwenye picha au video clip za huyu mzee naomba tafadhali.
Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Usingeweza kuchoka kumtazama kwa vituko na maigizo ambayo yangeweza kukutoa kwenye kuigiza na kudhania ukweli.
Nimekuwa nikitafuta picha za huyu mzee ambaye kwa sasa ni marehemu bila mafanikio. Kwa mwenye picha au video clip za huyu mzee naomba tafadhali.
Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app