Hallow wadau,naomba mnitafutie nyumba nzuri ya gharama nafuu jijini mwanza kwa ajili ya kupanga na iwe karibu na mjini.Iwe na vyumba viwili ,sebule,jiko na kimoja kiwe na choo na bafu na hata nyingine kama ina choo na bafu la ndani siyo mbaya.naomba kuwasilisha wadau.