nipigie 0657 14 5555, 0686 200117,0755 099 291 ThomasWadau natumai mu wazima.
Nahitaji nyumba ya kupanga yenye vyumba vitatu vya kulala, sebule,jiko, choo na bafu viwe ndani, iwe fenced na geti lake bila kushare, maeneo mazuri yaliyotulia ya mikocheni na kijitonyama.
natanguliza shukrani