Natafuta nyumba ya kupanga

Tanganyika50

Member
Dec 8, 2011
97
19
Heshima kwenu wakuu,
Natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya kimara,sinza,tabata au magomeni.Nyumba iwe na bedroom 1 preferably self contained,sebule na kajiko.Privacy ni muhimu.budget yangu ni 200,000/= pm miezi sita.
Mwenye nayo naomba ani PM tafadhali.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom