Sikwepeshi
Senior Member
- Jan 26, 2012
- 162
- 18
Mambow wakuu,siku zote naamini jf ni sehemu ambayo ina nafasi kubwa sana kimaisha natafuta nyumba ya kupanga iwe maeneo ya changanyikeni,ubungo,mwenge,mikocheni,mbez beach au kawe.iwe inajitegemea yenyewe ina vyumba 2 kikiwepo master bed room if pocbo,self contained.thnx in advance