Nyumba ya gorofa kwa ajili ya kuishi inahitajika. Iwe maeneo yasiyo na msongamano kama vile Mbezi beach, Tegeta, Boko, Kijichi, Bunju, Tabata na maeneo mengine yenye tabia kama hizo. Piga 0786 046 484 au email gmwiga@yahoo.com
Wasiliana na jamaa mmoja yupo humu humu JF anaitwa Kitomai1ni mtaalamu wa deal kama hizo!pia kama una mkwanja wa kutosha kuna maghorofa yanauzwa hapo mbezi beach kwenye round about ukishuka africana!kama unaenda Whitesand!ila ujiandae manake bei zake zimeenda shule!search humu kuna matangazo mengi tu ya huyo Kitomai.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.