Kama uko vizuri, pitia kwenye maofisi ya madalali wametapakaa kote, ila pia ujue, fee ya dalali ni kodi ya mwezi mmoja, unalipa wewe, na mwenyenyumba pia anampa kodi ya mwezi mmoja, hivyo ili zipatikane fedha za dalali, anamshinikiza mwenye nyumba kupandisha kodi!.Wana forum ninatafuta nyumba nzima yenye usalama mzuri maeneo ya sinza,mwenge,kinondoni,mikocheni,kijitonyama au kawe.Naoba mwenye taarifa anisaidie haraka.
kuna nyumba naifahamu ipo sinza,na mwenye nyumba namfahamu,jee upo interest?wapangaji wamehama j.2 hii,wamepata kazi arusha.sehemu nzuri mno,na ni ya vyumba 3,ina geti na sehemu ya kupaki gari kama 3,jee ya vyumba 3 itakufaa?lakini ndani ya hilo eneo kuna nyumba nyengine 2,ila wanaokaa humo ni wastaarabu mno,na ni watu ambao wapo busy na kazi,hawana watoto
Wana forum ninatafuta nyumba nzima yenye usalama mzuri maeneo ya sinza,mwenge,kinondoni,mikocheni,kijitonyama au kawe.Naoba mwenye taarifa anisaidie haraka.
labda room moja na sebule sefu kontena......kwa mahitaji yake si chini ya $600....Kama uko vizuri, pitia kwenye maofisi ya madalali wametapakaa kote, ila pia ujue, fee ya dalali ni kodi ya mwezi mmoja, unalipa wewe, na mwenyenyumba pia anampa kodi ya mwezi mmoja, hivyo ili zipatikane fedha za dalali, anamshinikiza mwenye nyumba kupandisha kodi!.
Kama hauna haraka ki hivyo, tembelea maeneo unayoyataka, utaona vibao vya matangazo ya kupangishwa nyumba kwenye kona za mitaa, hapo unazungumza direct na wenye nyumba unajipatia unafuu wa kodi.
Ngarama za kupanga nyumba nzima ya kawaida, vyumba 4 vya kulala, kimoja ni master, sitting, dinning na jiko yenye geti na usalama ni kama ifuatavyo
Kinondoni kuanzia laki 3
Sinza Laki 4
Mbezi Beach laki 5
Masaki-milioni,
Osterbay- 1.5
Sisi wenye familia za watoto wanane tutaishi na watu kweli? lol