luvie pearl
Member
- Jun 20, 2019
- 91
- 65
Habari zenu wote...!
Naomba kufahamishwa makampuni au maeneo yoyote (serikalini na maeneo binafsi) ambayo yanatoa nafasi ya kufanya mafunzo kwa vitendo (interniship) na utaratibu wa jinsi ya kuomba. Asante
Naomba kufahamishwa makampuni au maeneo yoyote (serikalini na maeneo binafsi) ambayo yanatoa nafasi ya kufanya mafunzo kwa vitendo (interniship) na utaratibu wa jinsi ya kuomba. Asante