TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,786
- 2,087
Mwenzenu nimechoka maisha ya ubachelor natafuta wa ubabu wangu wa kufa na kuzikana.
Mi ni mwanaume umri wa miaka 35 ni mkristo mtumishi wa umma.
Kwa aliye serious sichagui dini, ngozi/rangi, kimo wala dini nacho jali ni upendo wa dhati.
Kwa aliye serious tuwasiliane kwa barua pepe nyunzo@yahoo.com
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
Mi ni mwanaume umri wa miaka 35 ni mkristo mtumishi wa umma.
Kwa aliye serious sichagui dini, ngozi/rangi, kimo wala dini nacho jali ni upendo wa dhati.
Kwa aliye serious tuwasiliane kwa barua pepe nyunzo@yahoo.com
Natanguliza shukrani zangu za dhati.