Natafuta mume wa kweli

Muumbe
Nina miaka 34 mie mkristo, elimu yangu ni Diploma ya Biashara na Usimamizi.
Kazi yangu ni mjasiriamali.

Sifa za mwanaume awe Dini yangu umri 38-43 , awe kanizidi mie kipato naasiwe mlokole , awe na elimu ya kawaida ila isiwe Diploma . Awe mkarimu,Muelewa , Anaheshima Kwa wote , asiwe nawivu wakupitiliza na asiwe mrefu sana.

Nataka awe anakazi, aeleweke,asiwe namtoto , asiwe na mambo Mengi. Nipo serious kuolewa nikimpata wakweli . Asanteni .
 
Mimi sina sifa hizo, ila nina marafiki zangu wenye sifa hizo, ntakupa mmoja
 
Nadhani njia sahihi ni kuwa MTU ukitaka mchumba - weka vigezo vichache afu mtu akikupm ndiyo muulizane mengi - mkikubaliana P and vise versa
 
Kwa umri huo, Nani asiwe na mtoto na anasubiri nini kutokuwa na mtoto, wanawake bwana, chongeni wanaume mnao wataka! Kwa fundi selemala
 
Nina miaka 34 mie mkristo, elimu yangu ni Diploma ya Biashara na Usimamizi.
Kazi yangu ni mjasiriamali.

Sifa za mwanaume awe Dini yangu umri 38-43 , awe kanizidi mie kipato naasiwe mlokole , awe na elimu ya kawaida ila isiwe Diploma . Awe mkarimu,Muelewa , Anaheshima Kwa wote , asiwe nawivu wakupitiliza na asiwe mrefu sana.

Nataka awe anakazi, aeleweke,asiwe namtoto , asiwe na mambo Mengi. Nipo serious kuolewa nikimpata wakweli . Asanteni .
Mungu na akupe haja ya moyo wako! Muombe sana Mungu, Ikibidi funga, omba toa na sadaka maalumu kwa ajili ya kupata mume sahihi!
 
1. Unataka mume.
2. Awe dini yako.
3. Awe na kazi.
4. Asiwe na mtoto.
5. Awe mweli.
6. Akuzidi kipato.
7.Asiwe mrefu sana.
8. Awe mkarimu kwa wote.
9. Awe na heshima
10. ASIWE NA MAMBO MENGI! (wakati wewe tayari ushataka awe na mambo mengi)
NA asiwe mlokole
 
Nina miaka 34 mie mkristo, elimu yangu ni Diploma ya Biashara na Usimamizi.
Kazi yangu ni mjasiriamali.

Sifa za mwanaume awe Dini yangu umri 38-43 , awe kanizidi mie kipato naasiwe mlokole , awe na elimu ya kawaida ila isiwe Diploma . Awe mkarimu,Muelewa , Anaheshima Kwa wote , asiwe nawivu wakupitiliza na asiwe mrefu sana.

Nataka awe anakazi, aeleweke,asiwe namtoto , asiwe na mambo Mengi. Nipo serious kuolewa nikimpata wakweli . Asanteni .
Ukipata wa sifa hz niite mbwa nmekaa pale
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom