Usedcountrynewpipo
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,638
- 2,720
Kuna wengine wamefiwa na wenzi wao.. Nadhani miss Manka ametaget hapo.. All in all I wish her the best...Duh hiyo miaka wengi wao tayari wako kwenye ndoa zao
Kuna wengine wamefiwa na wenzi wao.. Nadhani miss Manka ametaget hapo.. All in all I wish her the best...Duh hiyo miaka wengi wao tayari wako kwenye ndoa zao
na ndoa unataka humu humu ifungwe auNatafuta mwanaume anaejielewa, mwenye kumcha mungu na awe na kazi ya kumuingizia kipato asiwe na mtoto zaidi ya mmoja,awe mnene kidogo mrefu saizi ila sio sana.
Na awe tayari kunipenda na awe nasty in bed, awe na miaka 36-40.awe mkristo na awe na mvuto kidogo ila sio sana maana sana inaboa.
Karibuni,kejeli sio nzuri
Tuma CV yako na picha ukiwa umevaa vazi la ufukweni please! Tupo wengi waoaji kinachohitajika ni vigezo. Fanya fasta Mama.Natafuta mwanaume anaejielewa, mwenye kumcha mungu na awe na kazi ya kumuingizia kipato asiwe na mtoto zaidi ya mmoja,awe mnene kidogo mrefu saizi ila sio sana.
Na awe tayari kunipenda na awe nasty in bed, awe na miaka 36-40.awe mkristo na awe na mvuto kidogo ila sio sana maana sana inaboa.
Karibuni,kejeli sio nzuri
babulai.wewe noma hutaki kuuziwa mbuzi kwenye gunia?Embu tuasume wewe ni gari na uko sokoni....Sisi serious buyers tungependa kujua yafuatayo;-
- Kwamba wewe ni model ya mwaka gani?
- Made in wapi?
- Kwamba wewe ni manual (kwa matumizi ya shamba tu) ama ni auto (kote kote i mean)
- Mashine inasoma ngapi kwenye dashboard(kwa maana ya umedate mara ngapi)
- Umewahi kushusha Engine/umewahi kufanya over hall (kutoa mimba)- kama ndio mara ngapi?
- Mara ya mwisho umefanya service lini(Kupima)
- Na kwamba ni watumiaji wangapi walipata kumiliki gari hili/kuoa.
- Taja sifa za ziada kama mwendo wako kwenye 6/6.
- Body type
- Colour
- Una turbo kidogo ama ni flat clossed saloon.
Natafuta mwanaume anaejielewa, mwenye kumcha mungu na awe na kazi ya kumuingizia kipato asiwe na mtoto zaidi ya mmoja,awe mnene kidogo mrefu saizi ila sio sana.
Na awe tayari kunipenda na awe nasty in bed, awe na miaka 36-40.awe mkristo na awe na mvuto kidogo ila sio sana maana sana inaboa.
Karibuni,kejeli sio nzuri
Eeeeeh! Sidai!babulai.wewe noma hutaki kuuziwa mbuzi kwenye gunia?
upembuz yakinifuAtakuwa ashapata au yuko kwenye upembuzi.
nipo tayar naomba unitumie contact plzNatafuta mwanaume anaejielewa, mwenye kumcha mungu na awe na kazi ya kumuingizia kipato asiwe na mtoto zaidi ya mmoja,awe mnene kidogo mrefu saizi ila sio sana.
Na awe tayari kunipenda na awe nasty in bed, awe na miaka 36-40.awe mkristo na awe na mvuto kidogo ila sio sana maana sana inaboa.
Karibuni,kejeli sio nzuri