Rene Jr.
JF-Expert Member
- Jan 31, 2014
- 3,704
- 2,351
Natafuta mwanaume anaejielewa, mwenye kumcha mungu na awe na kazi ya kumuingizia kipato asiwe na mtoto zaidi ya mmoja,awe mnene kidogo mrefu saizi ila sio sana.
Na awe tayari kunipenda na awe nasty in bed, awe na miaka 36-40.awe mkristo na awe na mvuto kidogo ila sio sana maana sana inaboa.
Karibuni,kejeli sio nzuri
Mimi bado niko kwenye early 30's, nakaribishwa? Haujaweka wasifuu wako bibie.