lingindingi
JF-Expert Member
- Jul 28, 2016
- 218
- 123
Naona watu wamekustai hawajakuponda kama dude moja lile lilo taka mwanaume wa master s na kama mfanya biashara awe na kipati cha 1.5m kwa mwezi kama alimsaidia mtaji,utapata tu Dada mi bado mdogo sana kwako