Natafuta mume tuoane

Naona watu wamekustai hawajakuponda kama dude moja lile lilo taka mwanaume wa master s na kama mfanya biashara awe na kipati cha 1.5m kwa mwezi kama alimsaidia mtaji,utapata tu Dada mi bado mdogo sana kwako
 
Salama wakuu wa love connect.

Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 37, nina mtoto mmoja wa mwaka mmoja, baba yake tuliachana ila hatukuwahi kuishi pamoja, nimeajiriwa serikalini, nina elimu ya masters.

Umbo langu ni mnene kiasi, maji ya kunde, dini mkristo mkatoliki, ninaishi dar.

Natafuta mume wa kufunga nae ndoa na kumaliza nae muda wa kuishi duaniani; awe mwenye umri kuanzia miaka 37, Mwenye elimu kuanzia chuo kikuu, asiwe mnene, rangi yoyote, mwajiriwa ama mtafutaji, anayejua umuhimu wa maisha na ndoa, mwenye kumpenda mke na atakayemkubali na kumpenda mwanangu, awe mkristo wa dhehebu lolote isipokuwa msabato.

Nitampenda kwa moyo wangu wote na kuwa mwaminifu kwake.

Kwa anayekubali vigezo anakaribishwa PM tafadhali.
Picha tafadhari
 
Salama wakuu wa love connect.

Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 37, nina mtoto mmoja wa mwaka mmoja, baba yake tuliachana ila hatukuwahi kuishi pamoja, nimeajiriwa serikalini, nina elimu ya masters.

Umbo langu ni mnene kiasi, maji ya kunde, dini mkristo mkatoliki, ninaishi dar.

Natafuta mume wa kufunga nae ndoa na kumaliza nae muda wa kuishi duaniani; awe mwenye umri kuanzia miaka 37, Mwenye elimu kuanzia chuo kikuu, asiwe mnene, rangi yoyote, mwajiriwa ama mtafutaji, anayejua umuhimu wa maisha na ndoa, mwenye kumpenda mke na atakayemkubali na kumpenda mwanangu, awe mkristo wa dhehebu lolote isipokuwa msabato.

Nitampenda kwa moyo wangu wote na kuwa mwaminifu kwake.

Kwa anayekubali vigezo anakaribishwa PM tafadhali.
Badilisha kichwa cha uzi wako,maana ninaona wewe umetafsiri kiingereza chako hapo ilhali hapa ni Tz.Tanzania mwanamke anatafuta mwanamume wa kumuoa na siyo kuoana kama ulivyodai!!!
 
Mimi nnachojua mwanamke anaolewa,na mwanamme anaoa,sasa wewe unataka muoane? Au wenye masters ndio wanaoana hawaolewi?
 
Utakubali kuwa mke wa pili?? Utakubali kuwa suria wangu?? Nipo siriasi hapa sio utani. Ntakuchukua utakaa raha mustarehe. Naona huyu ananizingua siku hizi. Nikivuta mwingine mtashika adabu nyote. Tena nawaweka nyumba moja. Hata huyu ana kazi nzuri tu
 
Katika maelezo ya wanaotafuta ndoa humu,nimeona huyu dada yuko sireous,japo suala elimu ya mume nalo ni ishu,kama anataka mtafutaji,na hustkers wengi ni F4-6,huko juu wengi wanaangalia ajira zaidi,japo nayo ni sehemu ya utafutaji.
 
Salama wakuu wa love connect.

Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 37, nina mtoto mmoja wa mwaka mmoja, baba yake tuliachana ila hatukuwahi kuishi pamoja, nimeajiriwa serikalini, nina elimu ya masters.

Umbo langu ni mnene kiasi, maji ya kunde, dini mkristo mkatoliki, ninaishi dar.

Natafuta mume wa kufunga nae ndoa na kumaliza nae muda wa kuishi duaniani; awe mwenye umri kuanzia miaka 37, Mwenye elimu kuanzia chuo kikuu, asiwe mnene, rangi yoyote, mwajiriwa ama mtafutaji, anayejua umuhimu wa maisha na ndoa, mwenye kumpenda mke na atakayemkubali na kumpenda mwanangu, awe mkristo wa dhehebu lolote isipokuwa msabato.

Nitampenda kwa moyo wangu wote na kuwa mwaminifu kwake.

Kwa anayekubali vigezo anakaribishwa PM tafadhali.
Mimi miongoni wale elfu tisa waliotumbuliwa sasa sina kazi. Je nitakufaa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom