Natafuta mume tuoane

Mi ningechangamkia hiyo fursa ila ndo hivyo elimu yangu ni ya chuo (sio university) nina elimu ya chuo cha ufundi,
Pia sio mwajiriwa ila mimi nauzaga majeneza na sanda.
Anaweza kukubali mkaoana, ukizingatia wewe sio msabato
 
Acha kutishia wakubwa nyau, huo ndio ukweli kwan watu hao hawaabudu sanamu la mungu wa misri isis? Now linaitwa bikira maria

Haya mambo ya kukwepesha ukweli sina, ni dhahiri mtoa uzi hawataki wasabato kwakuwa hawana hayo mambo, ila anawataka warutheli na walokole kwakuwa wanaendana na taratibu zao za ibada , hasa sikukuu za paganism, ambazo zinatoka ROMA,
Ewe Mtu uitwaye AROON ukiwa unaeleza nambo yako hapa usiitaje ulutheri kiku....au nikuanzishie hapa ya kuhusu mama yenu G. White mpaka asubuhi.

Umeelewa weyee?
 
Ewe Mtu uitwaye AROON ukiwa unaeleza nambo yako hapa usiitaje ulutheri kiku....au nikuanzishie hapa ya kuhusu mama yenu G. White mpaka asubuhi.

Umeelewa weyee?
Huna lolote wewe, kwani uruthel na uroma kuna tofauti ipi kubwa?

Lutheran ni mtoto mdogo wa roma, bint mkubwa ni anglican na orthodox church

NDIO MAANA BIBLIA INAMUITA ROMAN CATHOLIC mama wa makahaba, ANA MABINT WENGI yaani makanisa au madhehebu , yenye vijidhehebu vingi kama utitiri
 
Unajua nini mkuu! Hizi dini wote tumeletewa kwahiyo sioni haja ya kukomalia sana tusiyoyajua ama tusiyo na uhakika nayo, ilihali tunaamini Mungu wetu ni mmoja na kila dhehebu linamuabudu kwa staili yake
Ukisema kila dini inaabudu kwa staili yake ni udanganyifu wa shetani, msingi wa ibada yako ni nini? Wenye staili zao ni Islam, Hindu n. k.hawa wana misahafu yao wenyewe. Lakini madhehebu yaliyochakachua biblia na kufanya marekebisho, biblia inasema ni mabinti wa Yule kahaba wa ufunuo 17:1-9
 
Huna lolote wewe, kwani uruthel na uroma kuna tofauti ipi kubwa?

Lutheran ni mtoto mdogo wa roma, bint mkubwa ni anglican na orthodox church

NDIO MAANA BIBLIA INAMUITA ROMAN CATHOLIC mama wa makahaba, ANA MABINT WENGI yaani makanisa au madhehebu , yenye vijidhehebu vingi kama utitiri
Ukisema kila dini inaabudu kwa staili yake ni udanganyifu wa shetani, msingi wa ibada yako ni nini? Wenye staili zao ni Islam, Hindu n. k.hawa wana misahafu yao wenyewe. Lakini madhehebu yaliyochakachua biblia na kufanya marekebisho, biblia inasema ni mabinti wa Yule kahaba wa ufunuo 17:1-9

Busara ni kitu cha bure ambacho hutagharamika kukitumia katika maisha yako,kwanini msitafute uzi wenu mkapeleka haya mabishano yenu ya kijinga huko?

Huyu dada anahitaji mume na ameanzisha uzi lakini nyie mnauchafua bila sababu za msingi kabisa....

Acheni tabia za hovyo hizi....
 
Salama wakuu wa love connect.

Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 37, nina mtoto mmoja wa mwaka mmoja, baba yake tuliachana ila hatukuwahi kuishi pamoja, nimeajiriwa serikalini, nina elimu ya masters.

Umbo langu ni mnene kiasi, maji ya kunde, dini mkristo mkatoliki, ninaishi dar.

Natafuta mume wa kufunga nae ndoa na kumaliza nae muda wa kuishi duaniani; awe mwenye umri kuanzia miaka 37, Mwenye elimu kuanzia chuo kikuu, asiwe mnene, rangi yoyote, mwajiriwa ama mtafutaji, anayejua umuhimu wa maisha na ndoa, mwenye kumpenda mke na atakayemkubali na kumpenda mwanangu, awe mkristo wa dhehebu lolote isipokuwa msabato.

Nitampenda kwa moyo wangu wote na kuwa mwaminifu kwake.

Kwa anayekubali vigezo anakaribishwa PM tafadhali.
umepata tayari
 
Hata mimi natafuta mke nina mtoto mmoja na elimu yangu ni ya KKK yaani najua kusoma kuandika na kuhesabu nikigombea uongozi nawazidi hata wenye degree tatu
 
Ni ngumu sana kwa tabia zako za kibaguzi kupata mme unayefikiri anakufaa na ni wa maana wakati wewe siyo wa maana.
i.e i. Awe mkristo lakini siyo msabatho
ii. Wasabatho wana masharti magumu
iii. Wasabatho wana tabia za kukera.
Mdada yupo Sahihi.Wewe huwajui Wasabatoo.Nimewai ishi Na ndugu mmoja Msabatoo.Aiseeeee!wajuaji wachoyooo,wao ndo hawana Dhambi...kila Siku kuichambua biblia lakini hawafuati ya Huko Bibiliani.Hapana kwa kweli nimemuelewaaa.Wasabatoo.Walau Wasabatoo wa Kwetu Pazuri..Yaani wana kwenda Na Dunia kama kujitengenezaa.Wa Hapa TZ yote No but Rohooo ngumu wabinafsi sana.Usinywe Chai ni sumu.Asubuhi Na mapema wa kwanza kuinywaa.
 
Mdada yupo Sahihi.Wewe huwajui Wasabatoo.Nimewai ishi Na ndugu mmoja Msabatoo.Aiseeeee!wajuaji wachoyooo,wao ndo hawana Dhambi...kila Siku kuichambua biblia lakini hawafuati ya Huko Bibiliani.Hapana kwa kweli nimemuelewaaa.Wasabatoo.Walau Wasabatoo wa Kwetu Pazuri..Yaani wana kwenda Na Dunia kama kujitengenezaa.Wa Hapa TZ yote No but Rohooo ngumu wabinafsi sana.Usinywe Chai ni sumu.Asubuhi Na mapema wa kwanza kuinywaa.
If you know teach, if you don't know learn. Wewe ni mfano sahihi kabisa wa aina ya watanzania. Yaani umbea na kuongea vitu ambavyo havina msingi.

Wasabatho hawanywi chai? Au wanashauri ikibidi utumie bidhaa nyingine kupunguza athari za kiafya zinazotokana na matumizi ya bidhaa kama chai, soda, n.k?

Wasabatho wachoyo? Au unasema ndugu yako ni mchoyo? Point of correction: Uchoyo infact hausiani na usabato au kuwa mfuasi wa Dini fulani. Uchoyo at the first place ni tabia. Second I am sure madhehebu yote ikiwemo wasabatho wanafundisha kwamba uchoyo siyo tabia ya mtu wa Mungu.

Wasabatho wanafundisha na kujiona kwamba hawana dhambi? Siyo kweli! Ninachojuwa wanafundisha kwa kufuata maandiko ya Biblia (Bible Christians). Kila kitu kinapimwa na ukweli ulivyo kwenye Biblia.

Kila siku kuichambua Biblia....I think this is a good think to encourage among Christians. Sasa wewe unataka wachambue nini?

NB. Usitumie tabia za nduguyo kuhukumu wasabatho wote.

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Salama wakuu wa love connect.

Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 37, nina mtoto mmoja wa mwaka mmoja, baba yake tuliachana ila hatukuwahi kuishi pamoja, nimeajiriwa serikalini, nina elimu ya masters.

Umbo langu ni mnene kiasi, maji ya kunde, dini mkristo mkatoliki, ninaishi dar.

Natafuta mume wa kufunga nae ndoa na kumaliza nae muda wa kuishi duaniani; awe mwenye umri kuanzia miaka 37, Mwenye elimu kuanzia chuo kikuu, asiwe mnene, rangi yoyote, mwajiriwa ama mtafutaji, anayejua umuhimu wa maisha na ndoa, mwenye kumpenda mke na atakayemkubali na kumpenda mwanangu, awe mkristo wa dhehebu lolote isipokuwa msabato.

Nitampenda kwa moyo wangu wote na kuwa mwaminifu kwake.

Kwa anayekubali vigezo anakaribishwa PM tafadhali.
Kwanini sisi wasabato mnatunyanyapaa sana jamani?? Mtu wa pili wewe kusema isipokuwa msabato, any reasons behind??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom