Sabayi
JF-Expert Member
- Dec 4, 2010
- 2,310
- 991
Habari wakuu,naomba mwongozo wenu ni wapi naweza kupata kampuni au mtu anayeweza kunichimbia visima kwa ajili ya umwagiliaji shambani,mahali ni Dodoma na kwa vile shamba hakuna umeme ningefurahi kutumia teknolojia ya jua au upepo kuendeshea pampu.Kama una uelewa wowote tafadhali nisaidie.Natanguliza shukrani