Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,821
- 59,422
Kweli aisee ngoja niondoke maana nimeshaambiwa SIWEZEKANI!wana jf pocbo mshkaji yupo serious sana siyo fresh kumtania, especial lizzy na michelle nyie siwawezi.
Kweli aisee ngoja niondoke maana nimeshaambiwa SIWEZEKANI!wana jf pocbo mshkaji yupo serious sana siyo fresh kumtania, especial lizzy na michelle nyie siwawezi.
Uwii nlikua sijafikiria jina!Hapa ntamwomba nibaki na lakwangu!
Kweli aisee ngoja niondoke maana nimeshaambiwa SIWEZEKANI!
Hahahahahaha!LMDJM...Dah ngoja nikafikirie kwanza!HA HA HA HA HA HA
Mbona jina zuri tu
Tena utachukua majina yake yote
Lizzy Master Detectie Junior Member
Vyangu mimi!Labda kwa vyake unafaa!Kwa vigezo vyako au vyake?
Taratibu.
Naogopa kushindikana maana wa sasa hivi tu ananipiga chenga!Sasa hapo utaonekana hauko serious kweli, angesema mhusika kwamba hauwezekani sawa
Chukua mume huyo, acha kutafuta pa kutokea wakati umeomba mwenyewe
hahahahaaaaa! duh! kwaheri.Kweli aisee ngoja niondoke maana nimeshaambiwa SIWEZEKANI!
Naogopa kushindikana maana wa sasa hivi tu ananipiga chenga!
Huyu nae
Kila sifa hana
Hata useme nini atakwambia hana
Utataja sifa 7 atakwambia sifa zote anazo isipokuwa namba 1 hadi 7 ndio hana
Kaniambia atakuPM sasa hivi, ila umjibu serious
Dah!Yani we na dearest hamna bahati kabisa!
Sema labda anaweza kubadilisha matokeo.....
mkuu kwani kuishi MBEYA ni kasoro mbona hujiamini wewe?kuishi waaapy ndo sio kasoro?Mimi ni mkaka wa miaka 26 kasoro mwenyeji wa MBY,.
ngoja nimpm tubargain.. Ha ha!
Pick me..pick me..PICK MEEE!
kama unafanana na avatar yako kama mimi ninavyofanana na avatar yangu basi jamaa kapata ka-beautiful, yeye tu.
hapo hujampata vizuri ndg ,alimaanisha umri wake ni miaka26 kasoro.mkuu kwani kuishi MBEYA ni kasoro mbona hujiamini wewe?kuishi waaapy ndo sio kasoro?