habari ndugu,
mimi ni kijana wa kume ninaye tafuta binti ambaye twaweza kushabiiana na kupatana vyema kisha tujenge family
ABOUT ME:
Umri:29
kabila:mjaluo/mmasai
Kazi:mwajiriwa
Rangi:mweusi japo sio tii
Uremu:187cm/
Elimu:Bachelor
Mahala napoishiar
Dini:mkristo
Tabia/nilivyo:mpole kiasi,si mwingi wa maneno,jasiri na mwenye malengo (ambitious)
Napendelea:music,movies
Sipendi:uongo
SIFA ZA NINAYEMTAFUTA:
Umri:29 kushuka chini
kabila:yote ila si mzaramu,mpare,mrangi,mmachame,mnyiramba
Kazi:sichagui bt awe mwenye malengo
Rangi:sichagui rangi
Uremu:urefu wa kati bt asinizidi mimi
Elimu:Minimum Diploma
Mahala napoishiopote
Dini:mkristo
Tabia:asiwe muongo,mcha Mungu,mchapa kazi,mvumilivu,mwepesi kusahau makosa na siyelipiza visasi
anyehisi anasifa hizo na kuvutiwa na zangu ani PM tu,sitopendelea kuongelea vingine hadharani
asanteni na nina imani ntampata.
mimi ni kijana wa kume ninaye tafuta binti ambaye twaweza kushabiiana na kupatana vyema kisha tujenge family
ABOUT ME:
Umri:29
kabila:mjaluo/mmasai
Kazi:mwajiriwa
Rangi:mweusi japo sio tii
Uremu:187cm/
Elimu:Bachelor
Mahala napoishiar
Dini:mkristo
Tabia/nilivyo:mpole kiasi,si mwingi wa maneno,jasiri na mwenye malengo (ambitious)
Napendelea:music,movies
Sipendi:uongo
SIFA ZA NINAYEMTAFUTA:
Umri:29 kushuka chini
kabila:yote ila si mzaramu,mpare,mrangi,mmachame,mnyiramba
Kazi:sichagui bt awe mwenye malengo
Rangi:sichagui rangi
Uremu:urefu wa kati bt asinizidi mimi
Elimu:Minimum Diploma
Mahala napoishiopote
Dini:mkristo
Tabia:asiwe muongo,mcha Mungu,mchapa kazi,mvumilivu,mwepesi kusahau makosa na siyelipiza visasi
anyehisi anasifa hizo na kuvutiwa na zangu ani PM tu,sitopendelea kuongelea vingine hadharani
asanteni na nina imani ntampata.