Natafuta msichana aliye serious kwa ajili ya kujenga familia

habari ndugu,
mimi ni kijana wa kume ninaye tafuta binti ambaye twaweza kushabiiana na kupatana vyema kisha tujenge family

ABOUT ME:
Umri:29
kabila:mjaluo/mmasai
Kazi:mwajiriwa
Rangi:mweusi japo sio tii
Uremu:187cm/
Elimu:Bachelor
Mahala napoishi:Dar
Dini:mkristo
Tabia/nilivyo:mpole kiasi,si mwingi wa maneno,jasiri na mwenye malengo (ambitious)
Napendelea:music,movies
Sipendi:uongo

SIFA ZA NINAYEMTAFUTA:
Umri:29 kushuka chini
kabila:yote ila si mzaramu,mpare,mrangi,mmachame,mnyiramba
Kazi:sichagui bt awe mwenye malengo
Rangi:sichagui rangi
Uremu:urefu wa kati bt asinizidi mimi
Elimu:Minimum Diploma
Mahala napoishi:popote
Dini:mkristo
Tabia:asiwe muongo,mcha Mungu,mchapa kazi,mvumilivu,mwepesi kusahau makosa na siyelipiza visasi

anyehisi anasifa hizo na kuvutiwa na zangu ani PM tu,sitopendelea kuongelea vingine hadharani

asanteni na nina imani ntampata.


Hapo kwenye red kama nimekupata vizuri,inaonekana hupendi mtu mwenye tabia hizo.
 
Vigezo unavyotaka nnavyo na zaidi sema wewe huna nnavyotaka.

Kwanza kabila lako jeuri sana. . yote mawili. Weusi wako hautapendezesha watoto, na elimu bado sana.
hahaha sawa lizzy
kama vigezo bado sana ntakubali
kuhusu elimu siwezi anika elimu yangu yote,,
watoto wakitoka weusi basi we pi utakuwa mweusi
kuhusu ujeuri wamasai mbona sio wajeuri jamani?
 
Hivi kungekuwa na namna ya kupress oda kwa mungu na kumpa sifa na vigezo za aina ya wenzi tunaotaka na kututengenezea ingekuwaje!!!

Najaribu tu kulifikiria hili maana mmmm...........................................!!!
 
Hivi kungekuwa na namna ya kupress oda kwa mungu na kumpa sifa na vigezo za aina ya wenzi tunaotaka na kututengenezea ingekuwaje!!!

Najaribu tu kulifikiria hili maana mmmm...........................................!!!

ingekuwa nzuri zaidi
mana unakula kitu rohoo inataka
 
Nnavigezo vyote, lakini kabila lako mnakunywa damu na nyama mbichi...naogopa usijekuwa cannibal
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom