mchakachuaji192
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 366
- 68
Nina miaka 29, ni muajiriwa wa shirika flani hivi hapa dsm, si mnene sana, ni mrefu, maji ya kunde, ninapenda maendeleo.
Natafuta bint btn 23-27 ikimpendeza Mungu aje kuwa mke, napenda mtu mwenye kujiheshm na kujithamini, mwenye hofu ya Mungu awe mkristo, apendae maendeleo na mengne tutajuana mbele ya safari. Ni pm wadada
Natafuta bint btn 23-27 ikimpendeza Mungu aje kuwa mke, napenda mtu mwenye kujiheshm na kujithamini, mwenye hofu ya Mungu awe mkristo, apendae maendeleo na mengne tutajuana mbele ya safari. Ni pm wadada