ABEDNEGO
Senior Member
- Aug 20, 2009
- 109
- 30
Mimi ni mtumishi wa Wakala wa Serikali,Mshahara wangu kwa mwezi ni 2M ++ Mwajiri hakubaliani na dhana ya kuingia mkataba na Benki ili watumishi tukopeshwe.Sina colletaral zaidi ya mshahara wangu, Nisaidieni ni wapi naweza kukopeshwa(Personal loan) Nikatwe katika mshahara kwa mwezi ?