Mzee wa fund
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 514
- 89
Mimi ni mwanaume(32).Mwajiriwa wa serikalini.Ni mweusi,mnene kiasi,mcha mungu.Napendelea mwanamke mwenye ajira serikalini.Mkristo,mcha mungu,umri(26-31).Tafadhali nina maanisha.Mwenye utayari ani PM nitampa namba ya simu yangu.