M.E.M.A
JF-Expert Member
- Jul 27, 2013
- 1,373
- 472
Kwa upande wangu kifupi.
-Jinsia: Mwanaume/ME
-Umri wangu miaka 30.
-Urefu: 173CM
-Kwa wapenda nyota mimi ni Gemini (17/june)
-Imani:Mwadventista Msabato
-Kazi: Mwajiriwa na ujasiriamali kidogo ndio unaanza.
-Kabila: Mchaga
Upande wa mtafutwaji
-Jinsia: Mwanamke/KE
-Imani: Mwadventista Msabato
Kabila-mpare will be more considered
-Umri: wowote, ila usivuke 30. Hata hivyo akiwa 25-27 itakuwa safi zaidi.
-Kama ana mtoto 1 sawa.
-Kazi: sio lazima maana kazi zinatafutwa. Ila akiwa MWALIMU nitafurahi zaidi.
-Awe mtu mwenye akili ya 'maisha ni popote'. Sio 'Dar oriented mind'.
Karibuni kwenye PM.
BWANA MUNGU IKIWA UMEIONA NIA YANGU YA DHATI, BASI NIPATIE SAWA SAWA NA MAPENZI YAKO.
-Jinsia: Mwanaume/ME
-Umri wangu miaka 30.
-Urefu: 173CM
-Kwa wapenda nyota mimi ni Gemini (17/june)
-Imani:Mwadventista Msabato
-Kazi: Mwajiriwa na ujasiriamali kidogo ndio unaanza.
-Kabila: Mchaga
Upande wa mtafutwaji
-Jinsia: Mwanamke/KE
-Imani: Mwadventista Msabato
Kabila-mpare will be more considered
-Umri: wowote, ila usivuke 30. Hata hivyo akiwa 25-27 itakuwa safi zaidi.
-Kama ana mtoto 1 sawa.
-Kazi: sio lazima maana kazi zinatafutwa. Ila akiwa MWALIMU nitafurahi zaidi.
-Awe mtu mwenye akili ya 'maisha ni popote'. Sio 'Dar oriented mind'.
Karibuni kwenye PM.
BWANA MUNGU IKIWA UMEIONA NIA YANGU YA DHATI, BASI NIPATIE SAWA SAWA NA MAPENZI YAKO.