Natafuta mchumba

Polisi ben

JF-Expert Member
Oct 24, 2012
303
83
Naitwa Ben,{32yrs} mfanyakazi pia nafanya biashara,home ni bongo"changanyikeni ila kwa sasa niko motown kikazi,natafuta mchumba mwenye umri kuanzia 20-29 aliyetayari atume sms hapa +255762229824 sipendi utani.akiwa motown au arusha ni bomba zaidi.
 
Sasa dogo ikiwa interest yako ni watu wa Mo/Atown na wewe ndo upo kule kule MoTown, mi naona ingekuwa poa zaidi ungeingia mtaani tu ukawatafuta kuliko kusumbua na kuzingua dada zetu hapa JF.

Sifa kubwa ya huyo demu ni ipi, au ndo akiwa 20 to 29 tayari kesha qualify?

We unataka umemalize haja zako tu kisha ule kona, huna lolote.
 
Naitwa Ben,{32yrs} mfanyakazi pia nafanya biashara,home ni bongo"changanyikeni ila kwa sasa niko motown kikazi,natafuta mchumba mwenye umri kuanzia 20-29 aliyetayari atume sms hapa +255762229824 sipendi utani.akiwa motown au arusha ni bomba zaidi.
mkuu post 9 unatafuta mchumba kama umejiunga kwa faida ya kutafuta wachumba nenda love connect wapo wengi sana ila mkuu uwe mwangalifu wengine ni matapeli mapenda hela usishangae ukimpata kipato kinapungua kuwa mwangalifu
 
Sasa dogo ikiwa interest yako ni watu wa Mo/Atown na wewe ndo upo kule kule MoTown, mi naona ingekuwa poa zaidi ungeingia mtaani tu ukawatafuta kuliko kusumbua na kuzingua dada zetu hapa JF.

Sifa kubwa ya huyo demu ni ipi, au ndo akiwa 20 to 29 tayari kesha qualify?

We unataka umemalize haja zako tu kisha ule kona, huna lolote.

sio lazima kueleza kila kitu humu,af hilo neno dogo,koma broo
 
Kito.mbi kapita hapa.........

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Naitwa Ben,{32yrs} mfanyakazi pia nafanya biashara,home ni bongo"changanyikeni ila kwa sasa niko motown kikazi,natafuta mchumba mwenye umri kuanzia 20-29 aliyetayari atume sms hapa +255762229824 sipendi utani.akiwa motown au arusha ni bomba zaidi.
Kuna dada namfahamu yupo maeneo ulipo,ni muda mrefu sana anatafuta mtu wa kumuoa ila bahati huwa haiji kwake kwani ni mlemavu wa miguu yote pia macho hayafanyi kazi ila nitajaribu kuwasiliana nae ili akutafute na natumai Mungu akipenda ndiye atakuwa mke wako na wana JF tutakuja kufurahi nawe ewe mzalendo wa mapenzi ya dhati.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom