murid Member Jul 21, 2010 44 3 Jun 3, 2011 #1 Sifa awe islamic mcha mungu atakaekuatayari kuishi z,bar
Yericko Nyerere JF-Expert Member Dec 22, 2010 16,987 20,271 Jun 3, 2011 #2 Ni wewe uliyesafiri kwa ngalawa kutoka zbr hadi tanga au ni mwingine?
GAZETI JF-Expert Member Feb 24, 2011 5,277 6,673 Jun 3, 2011 #3 Yakhe karibu, hapo juu kuna sehemu imeandikwa LOVE CONECT hiyo ndo sehemu yenu muafaka. Lakini si unao watatu tayari?
Yakhe karibu, hapo juu kuna sehemu imeandikwa LOVE CONECT hiyo ndo sehemu yenu muafaka. Lakini si unao watatu tayari?
jockey emmanuel JF-Expert Member Mar 23, 2011 330 50 Jun 3, 2011 #4 he...we ni mtu wa ngap cjui kuanza na kuanza tu mnatafta wachumba?.....kila la kheri....ukimpata tujulishe
he...we ni mtu wa ngap cjui kuanza na kuanza tu mnatafta wachumba?.....kila la kheri....ukimpata tujulishe