Natafuta mchumba wa kuoa (msichana)

OME123

JF-Expert Member
Oct 4, 2010
1,498
605
Ndugu zangu habari za leo? Kama kichwa cha habari inajieleza nahitaji mchumba wa kuoa msichana Elimu yangu degree,miaka 39, kwa sasa naishi nje ya nchi kwa mkataba ya miaka mitatu,sina mtoto,mrefu,mnene kidogo giant,mweusi,sura kawaida sio handsome wala si ugly.

Sifa za ninae mtaka:
Awe mweupe au maji ya kunde
Mrefu na awe na kiwowo hata kidogo
Elimu kuanzia form four
Asiwe na mtoto
Awe tayari kuishi nchi nyingine tofauti na Tanzania.
Awe na tabia njema na awe muelewa(understanding)
Dini napreffer hasa mkristo

Nawasilisha.kama uko tayari tuwasiliane Pm na tutayajenga vizuri tu.Ndoa upangwa na MUNGU njoo tuzungumze.
 
Ndugu zangu habari za leo? Kama kichwa cha habari inajieleza nahitaji mchumba wa kuoa msichana Elimu yangu degree,miaka 39, kwa sasa naishi nje ya nchi kwa mkataba ya miaka mitatu,sina mtoto,mrefu,mnene kidogo giant,mweusi,sura kawaida sio handsome wala si ugly.

Sifa za ninae mtaka:
Awe mweupe au maji ya kunde
Mrefu na awe na kiwowo hata kidogo
Elimu kuanzia form four
Asiwe na mtoto
Awe tayari kuishi nchi nyingine tofauti na Tanzania.
Awe na tabia njema na awe muelewa(understanding)
Dini napreffer hasa mkristo

Nawasilisha.kama uko tayari tuwasiliane Pm na tutayajenga vizuri tu.Ndoa upangwa na MUNGU njoo tuzungumze.
We jamaa bure kabisa!!
 
Tuma picha kwanza.
Hahahah
IMG-20191005-WA0057.jpeg
 

Attachments

  • IMG-20191005-WA0058.jpeg
    IMG-20191005-WA0058.jpeg
    43.1 KB · Views: 3
Ndugu zangu habari za leo? Kama kichwa cha habari inajieleza nahitaji mchumba wa kuoa msichana Elimu yangu degree,miaka 39, kwa sasa naishi nje ya nchi kwa mkataba ya miaka mitatu,sina mtoto,mrefu,mnene kidogo giant,mweusi,sura kawaida sio handsome wala si ugly.

Sifa za ninae mtaka:
Awe mweupe au maji ya kunde
Mrefu na awe na kiwowo hata kidogo
Elimu kuanzia form four
Asiwe na mtoto
Awe tayari kuishi nchi nyingine tofauti na Tanzania.
Awe na tabia njema na awe muelewa(understanding)
Dini napreffer hasa mkristo

Nawasilisha.kama uko tayari tuwasiliane Pm na tutayajenga vizuri tu.Ndoa upangwa na MUNGU njoo tuzungumze.
Kila la heri mkuu,utapata
 
Ndugu zangu habari za leo? Kama kichwa cha habari inajieleza nahitaji mchumba wa kuoa msichana Elimu yangu degree,miaka 39, kwa sasa naishi nje ya nchi kwa mkataba ya miaka mitatu,sina mtoto,mrefu,mnene kidogo giant,mweusi,sura kawaida sio handsome wala si ugly.

Sifa za ninae mtaka:
Awe mweupe au maji ya kunde
Mrefu na awe na kiwowo hata kidogo
Elimu kuanzia form four
Asiwe na mtoto
Awe tayari kuishi nchi nyingine tofauti na Tanzania.
Awe na tabia njema na awe muelewa(understanding)
Dini napreffer hasa mkristo

Nawasilisha.kama uko tayari tuwasiliane Pm na tutayajenga vizuri tu.Ndoa upangwa na MUNGU njoo tuzungumze.
"Mweupe awe na kiwowo kidogo" wewe unataka mke wa maonyesho au mke wa kujenga nae familia
 
Mbona ameandika sifa za kawaida sana,hata mie ninazo zote
Huelewi,
Tatizo siyo sifa kuwa za kawaida au ngumu,
tatizo ni kumpata.
Haya, wewe hapo umesema sifa zote unazo, nenda kaolewe sasa.
Tatizo siyo sifa, tatizo ni kuolewa mama.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom