IS THIS A VACANCY AD?????Mimi ni binti mwenye umri wa miaka 25, natafuta mchumba anayenizidi miaka mitano(5) na kuendelea. Sharti awe mkristo ( Mlutherani sitaki kuwachanganya watoto na pia nahitaji familia yangu iwe ya dini), mpole ( Kuna wanaume wanaoogopapa kuwatongoza wanawake type kama hizo ndo nataka).
Usijali mapenzi tutafundishana kwenye ndoa (yaani ujuzi), uwe mrefu mwembamba, uwe na kazi nzuri (coz na mimi nina kazi nzuri) na ni mwembamba pia. Kabila utoke ndani haya matatu- msukuma, mhaya, na mkurya (mimi mhaya).
Elimu uwe na degree, usiwe na mtoto au ulishawahi kumpa mimba mdada yeyote akatoa (sitaki laana mimi, nataka kitu fresh kama mimi ingawa kufanya nilishafanya yaani ku do).
Nitakuheshimu na kukupenda kwa dhati kama utakuwa serious. Kama mzungu pia unakaribishwa ila sio mhindi au mchina.
Kama utakuwa interested ni-pm.
Hakuna aliyenichezea ila mm ndie sipendi kuolewa na mtu asiekuwa chaguo langu kutoka moyoni,,,coz kama weye sifa za kawaida km ww nimekutana nao wengi na husband material ,,sema sipo tayar,,sijataka kuongeza namba ya mahusiano ndo maana nkaandika iyo only two men.Hayo masharti mengi ndo yanakufanya uchezewe tu kila mara
'If that’s how you think about your perfect husband material, you’re at great risk of never getting your wish'Hakuna aliyenichezea ila mm ndie sipendi kuolewa na mtu asiekuwa chaguo langu kutoka moyoni,,,coz kama weye sifa za kawaida km ww nimekutana nao wengi na husband material ,,sema sipo tayar,,sijataka kuongeza namba ya mahusiano ndo maana nkaandika iyo only two men.
Na atazeeka kwao.Hayo masharti mengi ndo yanakufanya uchezewe tu kila mara
iNa atazeeka kwao.
Utajifunza kumpenda huko huko ndanis
i
sitazeeka sema nitaolewa na mtu nisie mpenda.
what is the point in getting married to a person you do not love? Emotional feeling is very important in marriage relation.s
i
sitazeeka sema nitaolewa na mtu nisie mpenda.
wafanye "fasta" kuleta mrejesho hv hawajui twasubiri kwa hamu "bandiko" la shuniemana hatujui wanapata kweli au uongo
ha ha hawafanye "fasta" kuleta mrejesho hv hawajui twasubiri kwa hamu "bandiko" la shunie
ndoa haitodumu ndo maana unaambiwa kosea vyote ila sio kukosea kuoa.Utajifunza kumpenda huko huko ndani
That is why i have tried my best to see if i can get that person through MMU and see if we can bond,,,what is the point in getting married to a person you do not love? Emotional feeling is very important in marriage relation.
'WE OFTEN DONT GET WHAT WE WISH FOR'
Mimi ni binti mwenye umri wa miaka 25, natafuta mchumba anayenizidi miaka mitano(5) na kuendelea. Sharti awe mkristo ( Mlutherani sitaki kuwachanganya watoto na pia nahitaji familia yangu iwe ya dini), mpole ( Kuna wanaume wanaoogopapa kuwatongoza wanawake type kama hizo ndo nataka).
Usijali mapenzi tutafundishana kwenye ndoa (yaani ujuzi), uwe mrefu mwembamba, uwe na kazi nzuri (coz na mimi nina kazi nzuri) na ni mwembamba pia. Kabila utoke ndani haya matatu- msukuma, mhaya, na mkurya (mimi mhaya).
Elimu uwe na degree, usiwe na mtoto au ulishawahi kumpa mimba mdada yeyote akatoa (sitaki laana mimi, nataka kitu fresh kama mimi ingawa kufanya nilishafanya yaani ku do).
Nitakuheshimu na kukupenda kwa dhati kama utakuwa serious. Kama mzungu pia unakaribishwa ila sio mhindi au mchina.
Kama utakuwa interested ni-pm.
My dear you are chasing nothing but a fantasyt
That is why i have tried my best to see if i can get that person through MMU and see if we can bond,,,
My dear you are chasing nothing but a fantasy
Hivi wewe unaitwa miss Tarented ama miss Talented.?! Hivi Tarented ina maana gani kwa Kihaya?!Mimi nimesema nilisha do. tayari kwa iyo haina shida ya shuka jeupe, pia picha siweki maana nahitaji mtu wa kunitrust kweli kwanza , na tatu mm sio mzuri sana , ni wa wastani , mwembamba afu maji y a kunde ila sina sura mbaya pia kwenye hilo group simo,, ni wa kati
Jamani....kila mtu ana specification zake, we kama hunazo kaa pending usisababishe foleni buree.Duh hayo mashart kama ww ndio unatoa mahari haya wasubir waje
haya maombi ungeyabandika kwenye mbao za matangazo halmashauri ya mara/musoma/tarime/bukoba usipotezeee watanzania muda