Yeah..Ila hapo kwenye kuchangia kodi kuna utata kidogoTeh teh kumbe nayeye ni mama wa fulsa?
Acha hizo basi
Sasa mkuu kuna tatizo gani kushare kodi ili tujuane kama mmoja ni mbahili
Chakula,matumizi ya ndani,uko romantic,handsome kama avatar yako???,unajua maisha,miaka yako mingapi,unajua mipaka ya mwanaume kwenye nyumba,unajua majukumu ya mwanaume wa kibongo,hauna mtoto,mchumba hawara..
Jibu maana na mie nimeshachoka kuwa mpweke...
Ila kodi sahau kuchangia mda huu
Chakula,matumizi ya ndani,uko romantic,handsome kama avatar yako???,unajua maisha,miaka yako mingapi,unajua mipaka ya mwanaume kwenye nyumba,unajua majukumu ya mwanaume wa kibongo,hauna mtoto,mchumba hawara..
Jibu maana na mie nimeshachoka kuwa mpweke...
Ila kodi sahau kuchangia mda huu