Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,063
nataka nikuopoe, unasemaje?
Utaniweza wewe?
nataka nikuopoe, unasemaje?
why not? Ina maana sisi wenye sura mbaya hatuna haki ya kuopowa mademu?
Utaniweza wewe?
hivi wadada kwa nn hamkemei hili?...siku hizi mnatafutwa kama mzigo uliopotea...MCHUMBA ANATAFUTWA...tena kwa herufi kubwa!..boh!
hivi wadada kwa nn hamkemei hili?...siku hizi mnatafutwa kama mzigo uliopotea...MCHUMBA ANATAFUTWA...tena kwa herufi kubwa!..boh!
Nashanga!
Me nadhani anatafuta wa short time na si wa Permanent.
Mchumba Mchezo ee!
BAGAH,Mpeni Course.
Akishindwa anitafute nimpeleke kwa Wahaya Mwananyamala.
LOL'EST.....!!!!!
astakaflah!
Hyo astaghafullilah yako ni ya mshtuko au una yako yamekusibu?
Funguka usaidiwe,
Bhoh!
unataka ukumbushie nini?
Nikumbushie nini?
Au ulivyokuwa unatandikwa na Mkeo,pale Shamuni?
hatupatikani kizembe zembe. Ngoja watutafute mizigo yao.
Nashanga!
Me nadhani anatafuta wa short time na si wa Permanent.
Mchumba Mchezo ee!
BAGAH,Mpeni Course.
Akishindwa anitafute nimpeleke kwa Wahaya Mwananyamala.
LOL'EST.....!!!!!
we mwanamke yote haya yametokea wap?unataka unipeleke umalayani kwa wahaya?huko sitaki bali nataka mchumba hapa Jf
Nashanga!
Me nadhani anatafuta wa short time na si wa Permanent.
Mchumba Mchezo ee!
BAGAH,Mpeni Course.
Akishindwa anitafute nimpeleke kwa Wahaya Mwananyamala.
LOL'EST.....!!!!!
mchumba anatafutwa nimeona tangazo kwenye gazeti la KIU madame B
hebu chukua hii kitu mpeleke mwananyamala fasta akapewa mambo ya KATEREROO!
Mm khalifa Saidi (28) najitokeza natafuta mchumba msichana muislam umri 18 - 22, awe mweupe wa asili, mwembamba ila napenda sura nzuri, shep inamata, aliotayari anitafute kupitia 0689 857 985, Email: halsalha2012@gmail.com. mm ni maji ya kunde, sio mnene,mrefu wastani, maisha ninayoishi ya kawaida mm sio tajiri, nimejiari, kwa mkiristu kama atapenda kubadili dini poa. Nina amini mchumba anatoka popote hata bar inawezekana.
Mm khalifa Saidi (28) najitokeza natafuta mchumba msichana
awe mwembamba
mm ni maji ya kunde