Mkolokotiatanas
Member
- Mar 2, 2013
- 63
- 7
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25,ni mzaliwa wa moro town,nafanya kazi iringa mjini,natafuta mchumba mwenye sifa kama hizi:mcheshi,mrefu wastani,mwenye busara na kujua umuhimu wangu,unaweza kunitumia majibu kupia email hii yafacebook godfreymkolokoti@yahoo.com or twiter gmkolokoti@yahoo.com.