Natafuta mchumba.!b-)

Mar 2, 2013
63
7
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25,ni mzaliwa wa moro town,nafanya kazi iringa mjini,natafuta mchumba mwenye sifa kama hizi:mcheshi,mrefu wastani,mwenye busara na kujua umuhimu wangu,unaweza kunitumia majibu kupia email hii yafacebook godfreymkolokoti@yahoo.com or twiter gmkolokoti@yahoo.com.
 
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25,ni mzaliwa wa moro town,nafanya kazi iringa mjini,natafuta mchumba mwenye sifa kama hizi:mcheshi,mrefu wastani,mwenye busara na kujua umuhimu wangu,unaweza kunitumia majibu kupia email hii yafacebook godfreymkolokoti@yahoo.com or twiter gmkolokoti@yahoo.com.

Email ya facebook??kuna mtu kakwambia wachumba wanapatikana humu,umekosa fb,twitter,whatsapp
now jf
 
Naona jamaa ana upweke sana pole sana kaka! tembelea mitaa yetu buguruni pale Rozana utaopoa unayetaka akianani ni wewe tu!
 
mchumba umepata kijana ntakutafta fce bk ila uwe tayari kuninunulia kisiwa chenye nyumba nzuri security guards wakutosha wafanya kazi wa ndani na wanje nyanya wakumlea mtoto 2takae mpata insurance nzuri za matibau na maisha, kagari cmple kaktembelea na hela ya kutosha shopping zangu za kawaida kila week mahar utalpa lak mbili2
 
My frndz,that's very current insue,not jokes,hapa iringa now still very baridi,please i need ur efrt once.@p

We jamaa umekuja kwa kasi sana, nimekuona kule photos na ile My phots. hapa sasa unatafuta kazi gani mzee
 
Duu! Huo ndio ulimwengu wa digitaly,katafte fb/jf link inayoendana na hayo mambo!
 
mmmh wenzio wanatafuta mke au mume we watafuta mchumba! ila umepotea njia si uende kule MMU?mmh ama kweli dunia ina mamboooo!!!
 
My frndz,that's very current insue,not jokes,hapa iringa now still very baridi,please i need ur efrt once.@p

Kule nimeona nafasi zimejaaaa!..nimeprepare bonge la rewardz,4this current insue..
attachment.php


.....naapa, hapa huwezi kumpata mtu!!!!!!!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom