Ironbutterfly
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 3,044
- 8,173
🤣🤣eti anapenda story za kijasusi
Napenda mambo ya kijasusi ndiyo. Kwani kuna ubaya?eti anapenda story za kijasusi
Huo muda unatoa wapiUkikaribia kuwa 30 hupaswi kuwa na friends?
Jasusi niko hapa, Naishi Ilboru juuNapenda mambo ya kijasusi ndiyo. Kwani kuna ubaya?
Kuna Mambo ya kijasusi ya ki-espionage km bugging ukifanyiwa utafurahi?Napenda mambo ya kijasusi ndiyo. Kwani kuna ubaya?
Tunatofautiana mitazamo mkuu.Huo muda unatoa wapi
Sawa sawaTunatofautiana mitazamo mkuu.
Fucked upSmart kichwa gani? Cha chini au cha juu
Utawapata.Habari zenu wapendwa,Poleni na kazi au shughuli tofauti tofauti.
Niko Arusha and natafuta marafiki both wanawake na wanaume.Sijali umri ila napendelea watu smart kichwani yaani intelligent people.
I am ready to meet and make new potential friends.
Kuhusu Mimi
1.Mwanamke
2.Almost 30 yrs
3.Employed
4.Book worm
5.Napenda mambo ya kijasusi sana.
Karibuni.
Dr Tu vibe nipo Arusha piaHabari zenu wapendwa,Poleni na kazi au shughuli tofauti tofauti.
Niko Arusha and natafuta marafiki both wanawake na wanaume.Sijali umri ila napendelea watu smart kichwani yaani intelligent people.
I am ready to meet and make new potential friends.
Kuhusu Mimi
1.Mwanamke
2.Almost 30 yrs
3.Employed
4.Book worm
5.Napenda mambo ya kijasusi sana.
Karibuni.
Sakina moja jumapili tuonane hata rafiki au bills tukafanye ujasusi drHabari zenu wapendwa,Poleni na kazi au shughuli tofauti tofauti.
Niko Arusha and natafuta marafiki both wanawake na wanaume.Sijali umri ila napendelea watu smart kichwani yaani intelligent people.
I am ready to meet and make new potential friends.
Kuhusu Mimi
1.Mwanamke
2.Almost 30 yrs
3.Employed
4.Book worm
5.Napenda mambo ya kijasusi sana.
Karibuni.
Rafiki yangu mpenzi,u hali ganiiii?5.Napenda mambo ya kijasusi sana.