Rock City
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,266
- 501
Wakuu,
Ninatafuta eneo la kiwanja au shamba ndani ya maeneo jirani ya mji.
Iwe ni eneo la pembezoni mwa barabara kuu hususan SIKONGE ROAD au URAMBO ROAD.
Kiwanja kiwe manispaa ya mjini, au hata zile nyumba za miti zilizobaki magofu, tunaweza kuelewana na kuuziana.
Sipendelei sana madalali, nawaogopa madalali.
Shamba lisizidi hekari 2, isiwe ni zaidi ya kilometa 10 toka mjini.
Kwa mawasiliano: 0779-333334
Ninatafuta eneo la kiwanja au shamba ndani ya maeneo jirani ya mji.
Iwe ni eneo la pembezoni mwa barabara kuu hususan SIKONGE ROAD au URAMBO ROAD.
Kiwanja kiwe manispaa ya mjini, au hata zile nyumba za miti zilizobaki magofu, tunaweza kuelewana na kuuziana.
Sipendelei sana madalali, nawaogopa madalali.
Shamba lisizidi hekari 2, isiwe ni zaidi ya kilometa 10 toka mjini.
Kwa mawasiliano: 0779-333334