GOYA MNANDA
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 239
- 160
mm ninacho vikindu mbele yabkongowe ya mbagala ukubwa square meter 60*60 bei 3ml kipo ubali wa dk 6 kutoka vikindu barabarani kwa pkpk
Mkuu viwanja vya hizo bei kipindi hiki kigumu sana unajua, kiwanja kikizidi sana iwe kumi na mbili mkuu,Vipo vya kaka yangu salasala,kimoja kimepimwa sqrm 530,na kingine hakijapimwa sqrm 400, vipo minarani kwa mboma.
NJOO PM NIKUPE NAMBA ZAKE.
Louis kwa ndani,kulia kama watoka town.Hii ni mbezi ipi? Ya kimara au mbezi beach au mbezi juu?
Kituo cha karibu cha basi kinaitwaje?
Bunju kipo sqm 1800 tuwasilianeNatafuta kiwanja maeneo ya tegeta, Goba, bunju, tabata au kimara
Nipe mawasiliano nije kupaonaMkuu kiwanja kipo goba jirani na shule ya precious
Kina fensi ya ukuta tayari,
Kina mashimo ya choo yaliyotayari,
Ukubwa ni 35/25,
Mbele kuna eneo la kujenga frem,
Bei ni milioni 15,kuandikishana unalipia mwenyewe,hamna dalali.
0683142500Nipe mawasiliano nije kupaona
kwamba kaua!heeeee,we umefunga kazi kabisaaaaaa
Kikubwa pia kina hati0683142500
06923291150683142500
Mkuu weka bajeti yako mezani kwanza wadau wajueNatafuta kiwanja maeneo ya tegeta, Goba, bunju, tabata au kimara
kipo chanika buyuni near pspf projectHiki ni wapi?
Vyema ungefika ukaona na mazungumzo ni angalizo ktk bandiko langu karibu Kwetu TzHuko mbali sana Muzii, mie naishia m11 mkuu
Nina kiwanja bunju cha skwata kina ukubwa wa sqm 700 bei milion 13. nina kiwanja bunju beach kilicho pimwa kina sqm 1250 kina hati ya serikal bei milion 95. nina kiwanja mbweni jkt sqm 750 karibu na beach kina hati ya serikal bei milion 70. nina kiwanja mbweni teta karibu na chuo cha NBA chuo cha uhasibu kiwancha kina sqm 1700 kina hati ya serikali bei tsh 120 mpaka 110 milion. .......ninavyo vingi sana vya ukubwa tofauti na bei tofauti kulingana na maeneo tunavyo vilivyo pimwa na visivyo pimwa for more details check me 0712464777. pia tunazo nyumba za kuuza nzuri maeneo tofaut. Karibuni sana.
ataaNina kiwanja bunju cha skwata kina ukubwa wa sqm 700 bei milion 13. nina kiwanja bunju beach kilicho pimwa kina sqm 1250 kina hati ya serikal bei milion 95. nina kiwanja mbweni jkt sqm 750 karibu na beach kina hati ya serikal bei milion 70. nina kiwanja mbweni teta karibu na chuo cha NBA chuo cha uhasibu kiwancha kina sqm 1700 kina hati ya serikali bei tsh 120 mpaka 110 milion. .......ninavyo vingi sana vya ukubwa tofauti na bei tofauti kulingana na maeneo tunavyo vilivyo pimwa na visivyo pimwa for more details check me 0712464777. pia tunazo nyumba za kuuza nzuri maeneo tofaut. Karibuni sana.