Natafuta kazi

Kirikou Wa Kwanza

JF-Expert Member
May 24, 2013
3,564
1,989
Mods acheni ujinga wa kuchanganya a/c za watu. Anayetafuta kazi anaitwa Maisha safari ndefu, inakuwa vipi jina langu mnaunganisha na jina la mtu mwingine? Mimi Kirikou Wa Kwanza sitafuti wala sihitaji kazi naombeni mfunge uzi huu!
 
Last edited by a moderator:
Upo tayari kufanya kazi za kiwandani kweli malipo kwa siku elfu nne,pesa itaongezeka jinsi unavyojituma kazini kama unaitaji sema nikuelekeze sehemu utapata hiyo kazi

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Upo tayari kufanya kazi za kiwandani kweli malipo kwa siku elfu nne,pesa itaongezeka jinsi unavyojituma kazini kama unaitaji sema nikuelekeze sehemu utapata hiyo kazi

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Nipo tayari mkuu. Naomba unielekeze ni wapi?
 
Upo tayari kufanya kazi za kiwandani kweli malipo kwa siku elfu nne,pesa itaongezeka jinsi unavyojituma kazini kama unaitaji sema nikuelekeze sehemu utapata hiyo kazi

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
nl

Nashukuru kwa kuwa Wa kwanza kujitolea ndugu haya maisha haya anajua Mungu tu
 
Habari zenu wakuu, mimi ni kijana mwenye umri miaka 23. Kiukweli maisha yangu ni magumu, nimeona ni busara niwe muwazi huenda nikapata msaada mzuri wa kimawazo kutoka kwa watu mbalimbali humu jamvini. Kwa bahat mbaya sikubahatika kumaliza elimu yangu ya sekondari kutokana na matatzo ya kifamilia. Hivyo basi maisha yangu kwasasa yamekuwa magumu kiasi cha kupoteza muelekeo. Kwa meneno haya machache waungwana mimi natafuta kazi hasa za viwandani kwa yeyote atakayepata fununu za kazi za viwandani naomba ani pm...ahsanteni!

kiwanda gani.viwanda viko vingi fafanua
 
Upo tayari kufanya kazi za kiwandani kweli malipo kwa siku elfu nne,pesa itaongezeka jinsi unavyojituma kazini kama unaitaji sema nikuelekeze sehemu utapata hiyo kazi

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
habari kaka, nami pia nilikuwa nahitaji my phone number ni 0762856503
 
Kunaaa kiwanda arusha kinaitwaa A to Z ukiendaa hatasasa hiviii unapataa ajira kisongo kunaitwaa kwa wamasaiii
 
Upo tayari kufanya kazi za kiwandani kweli malipo kwa siku elfu nne,pesa itaongezeka jinsi unavyojituma kazini kama unaitaji sema nikuelekeze sehemu utapata hiyo kazi

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

hebu na mimi nsaidie hii mkubwa nimechoka kukaa mtaan namba yangu ni 0758483433 na 0674488438
 
Habari zenu wakuu, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23.

Kiukweli maisha yangu ni magumu, nimeona ni busara niwe muwazi huenda nikapata msaada mzuri wa kimawazo kutoka kwa watu mbalimbali humu jamvini. Kwa bahat mbaya sikubahatika kumaliza elimu yangu ya sekondari kutokana na matatzo ya kifamilia. Hivyo basi maisha yangu kwasasa yamekuwa magumu kiasi cha kupoteza muelekeo.

Kwa meneno haya machache waungwana mimi natafuta kazi hasa za viwandani kwa yeyote atakayepata fununu za kazi za viwandani naomba ani pm...

Ahsanteni!

nitafute 0768577654
 
Nipo mwanza wapendwa sina ajira nikipata kazi yoyote nitafanya alie nayo na anaweza nisaidia anichek 0784849279
 
Nasikitika sana kuona Mods wa JF wanafanya kazi yao kama walevi...nasikitika sana kuona jina langu linatumika kwenye ID za watu wengine...nasikitika sana kuona kijana aliyekuwa akitafuta kazi kupitia msaada wa JF, a/c yake imefungwa na jina langu linatumika katika a/c yake...napinga kitendo hichi cha Mods kuunganisha ID za watu bila sababu za msingi.
 
Back
Top Bottom