Laurence
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 3,104
- 420
Please go direct to the point!!!. If some body questions your credibility and you want to clear your self just give your detailed CV. hapo ndipo mtu anaweza kuanzia uchunguzi wake na akishaondoa mashaka yake mara moja uta pata ajira. hili suala la oooo mungu ananijua halisaidii mimi nimekueleza maeneo yanayotia shaka. wewe yatolee ufafanuzi wala isiilaumu dunia kuwa haina usawa usawa upo sana na ndiyo maana hakuna hata mtu mmoja kazaliwa na nguo. tusaidie nasi tukusaidie.
Kama una mpango wa kumsaidia bi mdada toa msaada sio kuleta lugha kali hapa kama vp kaa pembeni wenye kuweza wamsaidie