Natafuta kazi za ndani

Please go direct to the point!!!. If some body questions your credibility and you want to clear your self just give your detailed CV. hapo ndipo mtu anaweza kuanzia uchunguzi wake na akishaondoa mashaka yake mara moja uta pata ajira. hili suala la oooo mungu ananijua halisaidii mimi nimekueleza maeneo yanayotia shaka. wewe yatolee ufafanuzi wala isiilaumu dunia kuwa haina usawa usawa upo sana na ndiyo maana hakuna hata mtu mmoja kazaliwa na nguo. tusaidie nasi tukusaidie.

Kama una mpango wa kumsaidia bi mdada toa msaada sio kuleta lugha kali hapa kama vp kaa pembeni wenye kuweza wamsaidie
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Aisee iweje ukose kazi wakati jina lako linadhirisha baraka? hebu ni Pm tuone itakavyokuwa
Habari za saizi
Natafuta kazi za ndani mim ni msichana mwemye umri wa miaka 23 nimemaliza form four mwaka 2004 natafuta kazi za ndani awe ni mkazi wa dar awe tayari kunilipa 70-80 kwa mwezi si chini ya hapo familia ya kikristo yenye upendo na amani asiwe mtu wa kunyayasa bali mwenye upendo na mwajiriwa ili niweze kufanya kazi wa umakini zaidi awe na mkataba wa kazi namba ni 0657018209 nia ujuzi na pia nafanya kazi zangu kwa umakini na uaminifu na kumfanya mwajiriwa asiwe na wasiwasi awapo kazini nina uelewa wa nini ninachokifanya pia nina ujuzi wa kufanya ya house keep kwa miaka mingi sasa .
Naomba wadau pia mnisaidie kutafuta nafasi hiiiiiiiiiiiiii.

Asanteni sana mtu yeyeote asisite kuwasiliana nami kwa namba hiziiiiiiii 0657018209
 
cv ndo hiyo nimeshatoa jaman nimemaliza form our mwaka 2004 nkawa nafanya kazi za kawaida tu za duka zaa ndani hata za stationary lakini sina spee san ya kuchapa sas sijui kama nimekujibu ndugu asante
 
cv ndo hiyo nimeshatoa jaman nimemaliza form our mwaka 2004 nkawa nafanya kazi za kawaida tu za duka zaa ndani hata za stationary lakini sina spee san ya kuchapa sas sijui kama nimekujibu ndugu asante
Sawa ongeza taarifa zifuatazo:
  1. shule gani na ulisoma masomo gani.
  2. kuuza duka la aina gani , wapi na kwa kipindi gani.
  3. stationary wapi na kwa kipindi gani.sula la speed siyo issue kwangu.
  4. Uwe tayari kuingia mkataba mrefu.
Pia kama una wadhamini wanaoaminika nifahamishe.
 
1. mvumi secondary sec
2. la nguo za kike na kiume na watoto miaka 2
3. dodoma kwa miezi nane
4.nipo tayari kwa huo mkataba
wadhamini ninao
 
ukweli mtu na uhalisia wake na ubinadamu wake uko ndani ya mtu ni vigumu sana binadamu kumjua binadamu mwenzake isipokuwa Mungu peke yake ndo anaweza kujua moyo wa mtu sitashangaaa sana ukisema hivyo ndugu yang ila tu cha msingi mwenyekuitaji manyakazi atasema kawaida dunia huwa haina usawa asante kazi njema za kulijenga taifa letu la tanzania.

Kha! Dada nawe unaonekana interijensia ndo mana wadau wana wasiwas na maswali meng
 
Duh! Watu mnamchallenge sana huyo mdada wakati wengine hata hamna uwezo wa kumsaidia ila mnataka kujenga wasiwasi kwa wenye uwezo ili washindwe kumsaidia.
Kila la heri mdada usikate tamaa.
 
Nimependa namna anavyoweza kujielezea na kutetea hoja zake , nafikiri anaweza kufanya zaidi ya nafasi aliyoomba. Kila la kheri dada, natumaini utafanikiwa tu.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
wakuu msiogope kuona dada namnyak anareply intelligently, yeye amemaliza form4 2004 kabla shule za kata hazijaanza na mitihani ya form 2 haijafutwa, dada kichwani zipo sio kama hawa form 4 wa sasa ambao hata kusoma hawajui
 
Dada nimekukubali.. Mungu akutangulie ili uweze kupata kazi. Ningekuwa muuajili kwa jinsi unavyopangua maswali nisingekuwa na sina budi kukuchukua. uafanye kazi ofisini. Wale wenye uwezo wa kuajili mfanyieni background check mmsaidie.
 
Nitakulipa 90 kama utakuwa tayari kuishi na wazazi wangu kijijini/moshi. Hauruhusiwi kuwa na simu ya mkononi/nitakununulia za Ttcl ya line but ya mezani,hauruhusiwi kuwa na mpenzi, ndugu kuja mara kwa mara nyumbani kwetu, kuvaa nguo zisizo na maadili, kutumia mikorogo, kunywa pombe na pia uwe mkarimu.
 
Sawa ongeza taarifa zifuatazo:
  1. shule gani na ulisoma masomo gani.
  2. kuuza duka la aina gani , wapi na kwa kipindi gani.
  3. stationary wapi na kwa kipindi gani.sula la speed siyo issue kwangu.
  4. Uwe tayari kuingia mkataba mrefu.
Pia kama una wadhamini wanaoaminika nifahamishe.

Mpigie simu kama una nia ya dhati. Kuliko kumchosha kwa post zako ambazo analazimika kuzijibu kila mara be a gentleman
 
nakaa kwako hiyo ni kazi kama kazi zingine jamani

duh! hii sio kama kazi nyingine dear, kazi nyingine hatukai kwa waajiri, tunakuja asubuhi, jioni tunaenda kulala na kula makwetu
Hivyo ligezo cha kukaa kwa mwajiri tuu, kinakupunguzia mshahara. Kwa huo mshahara inabidi uwe unakaa kwako, ili iwe kama kazi zingine,lol
 
Habari za saizi
Natafuta kazi za ndani mim ni msichana mwemye umri wa miaka 23 nimemaliza form four mwaka 2004 natafuta kazi za ndani awe ni mkazi wa dar awe tayari kunilipa 70-80 kwa mwezi si chini ya hapo familia ya kikristo yenye upendo na amani asiwe mtu wa kunyayasa bali mwenye upendo na mwajiriwa ili niweze kufanya kazi wa umakini zaidi awe na mkataba wa kazi namba ni 0657018209 nia ujuzi na pia nafanya kazi zangu kwa umakini na uaminifu na kumfanya mwajiriwa asiwe na wasiwasi awapo kazini nina uelewa wa nini ninachokifanya pia nina ujuzi wa kufanya ya house keep kwa miaka mingi sasa .
Naomba wadau pia mnisaidie kutafuta nafasi hiiiiiiiiiiiiii.

Asanteni sana mtu yeyeote asisite kuwasiliana nami kwa namba hiziiiiiiii 0657018209

pole sana mdada... Kwa hapa Tanzania hatujaanza kuajili house made wenye level kama yako ya elimu na uelewa..labda kama una lengo jingine zaidi ya kazi... Fool me once shame on me ....full me twice shame on you..
 
kwa hiyo unataka nilipwe eflu kumi kwa kuwa nakaa kwa mwajiri ?
Kulingana na taratibu za ajira (waraka wa serikali) zilizotolewa na Wizara ya kazi miaka kadhaa iliyopita, ilianishwa kuwa mfanaya kazi wa ndani anayekaa kwake (anakuja na kurudi) mshahara ni 80,000, lakini kama anakaa kwa mwajiri atalipwa sh. 25,000. Hii ni kwa sababu kwa mwajiri atapata mahitaji yote muhimu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom