Habari za saizi
Natafuta kazi za ndani mim ni msichana mwemye umri wa miaka 23 nimemaliza form four mwaka 2004 natafuta kazi za ndani awe ni mkazi wa dar awe tayari kunilipa 70-80 kwa mwezi si chini ya hapo familia ya kikristo yenye upendo na amani asiwe mtu wa kunyayasa bali mwenye upendo na mwajiriwa ili niweze kufanya kazi wa umakini zaidi awe na mkataba wa kazi namba ni 0657018209 nia ujuzi na pia nafanya kazi zangu kwa umakini na uaminifu na kumfanya mwajiriwa asiwe na wasiwasi awapo kazini nina uelewa wa nini ninachokifanya pia nina ujuzi wa kufanya ya house keep kwa miaka mingi sasa .
Naomba wadau pia mnisaidie kutafuta nafasi hiiiiiiiiiiiiii.
Asanteni sana mtu yeyeote asisite kuwasiliana nami kwa namba hiziiiiiiii 0657018209
Natafuta kazi za ndani mim ni msichana mwemye umri wa miaka 23 nimemaliza form four mwaka 2004 natafuta kazi za ndani awe ni mkazi wa dar awe tayari kunilipa 70-80 kwa mwezi si chini ya hapo familia ya kikristo yenye upendo na amani asiwe mtu wa kunyayasa bali mwenye upendo na mwajiriwa ili niweze kufanya kazi wa umakini zaidi awe na mkataba wa kazi namba ni 0657018209 nia ujuzi na pia nafanya kazi zangu kwa umakini na uaminifu na kumfanya mwajiriwa asiwe na wasiwasi awapo kazini nina uelewa wa nini ninachokifanya pia nina ujuzi wa kufanya ya house keep kwa miaka mingi sasa .
Naomba wadau pia mnisaidie kutafuta nafasi hiiiiiiiiiiiiii.
Asanteni sana mtu yeyeote asisite kuwasiliana nami kwa namba hiziiiiiiii 0657018209